warthog gun
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 1,466
- 1,256
Ole wao kama walishatumia hizo hela. Tutaanza kuvunja miguu ya shangazi zao. Mamaee
Ole wao kama walishatumia hizo hela. Tutaanza kuvunja miguu ya shangazi zao. Mamaee
Ina maana walinunua bila ya kuhakikisha ubora?
Sasa Kwanini walishinikiza Wafanyabiashara binafsi wanunue korosho zote kwa bei Moja Elekezi wakati Korosho wametambua zina Madaraka?
Tatizo la Wanasiasa wetu wanaamini wao wana weledi wa Biashara, Uvuvi , kilimo, uimbaji, uchezaji Mpira , U DJ , n.k
Eneo pekee wanaloheshimu taaluma Ni Uchawi ndio sababu wachawi hawabughudhiwi
ZidumaeZidumu fikra za mwenyekiti wa chama.
Hilo nalo nenoAlafu wakulima wa korosho wasitake kunitibua kabsa, walifanya sherehe kubwa kumpongeza jiwe waaache kutukebehi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema walimpa nchi kichaa, over my dead body siwezi na sijawahi kuipigia Inzi wa kijani kura.Tumempa nchi Kichaa....
Mkuu hiyo ni janja nyani, kwa masikio yangu nilimsikia jiwe (siku ile anakataa kampuni toka kwa waziri mkuu) akisema korosho za tz ni daraja la kwanza tupu leo mambo ya daraja la 2 yametoka wap?Ina maana walinunua bila ya kuhakikisha ubora?
Sasa Kwanini walishinikiza Wafanyabiashara binafsi wanunue korosho zote kwa bei Moja Elekezi wakati Korosho wametambua zina Madaraka?
Tatizo la Wanasiasa wetu wanaamini wao wana weledi wa Biashara, Uvuvi , kilimo, uimbaji, uchezaji Mpira , U DJ , n.k
Eneo pekee wanaloheshimu taaluma Ni Uchawi ndio sababu wachawi hawabughudhiwi
Mkuu itakuwa unashida sana na mitiii....yani sio kwa kuwashwa kiasi hichii..!!Warudishe hela za watu bwana waache kulialia! Huko kusini si ndiko wabunge na madiwani walienda kuunga juhudi za kichaa? Korosho zenyewe kumbe tani 50 tu? Hela irudi vinginevyo mtapata taabu sanaaaaa!
Mamanyoko,, haya maswali mkaulizane huko huko Lumumba! Eti wanasiasa, umeshindwa nini kusema "jiwe?" CCM huwa mnatuchezesha sana utafikri na sisi ni vichaa kama mkiti wenu!Ina maana walinunua bila ya kuhakikisha ubora?
Sasa Kwanini walishinikiza Wafanyabiashara binafsi wanunue korosho zote kwa bei Moja Elekezi wakati Korosho wametambua zina Madaraka?
Tatizo la Wanasiasa wetu wanaamini wao wana weledi wa Biashara, Uvuvi , kilimo, uimbaji, uchezaji Mpira , U DJ , n.k
Eneo pekee wanaloheshimu taaluma Ni Uchawi ndio sababu wachawi hawabughudhiwi
Utafuka wakati kutamka korosho itakuwa ni jinai. Country of wonders.Korosho inafika mahali unasoma tu habari zake kisha unapita chocho
Jr
wape taarifa mkuu, hela tusatumiaNazitolea wapi hizo pesa?, wakati nilitegemea nilipwe changu ndo niendeshe maisha
Harudishi mtu pesa hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app