Serikali yawataka wakulima wa korosho kurudisha fedha, korosho zao hazina ubora

Duh Sera na matamko yataathiri Kilimo chetu tusubiri mwakani tuone matokeo ya lililotokea msimu huu.Tofauti na hapo serikali ichukue jukumu la kuhudumia mashamba ya Korosho kwa makubaliano na wamiliki wa mashamba ambao wakulima maskini ambao miaka yote huhudumia mashamba yao kwa kukopa viatilifu na Fedha za kujikimu kwa kutumia malikauli.
 
Ina maana walinunua bila ya kuhakikisha ubora?

Sasa Kwanini walishinikiza Wafanyabiashara binafsi wanunue korosho zote kwa bei Moja Elekezi wakati Korosho wametambua zima Madaraka?

Tatizo la Wanasiasa wetu wanaamini wao wana weledi wa Biashara, Uvuvi , kilimo, uimbaji, uchezaji Mpira , U DJ , n.k

Eneo pekee wanaloheshimu taaluma Ni Uchawi ndio sababu wachawi hawabughudhiwi
Huu ujumbe wako unafurahisha sana. Wakati wanazisomba hawakuhangaika na madaraja. Ila zilipowadodea ndio wakazigundua kuwa zina madaraja. Nasikia na wengine wameitwa kwenda kubeba korosho zao ambazo zimeanza kuota.
 
Duh Sera na matamko yataathiri Kilimo chetu tusubiri mwakani tuone matokeo ya lililotokea msimu huu.Tofauti na hapo serikali ichukue jukumu la kuhudumia mashamba ya Korosho kwa makubaliano na wamiliki wa mashamba ambao wakulima maskini ambao miaka yote huhudumia mashamba yao kwa kukopa viatilifu na Fedha za kujikimu kwa kutumia malikauli.
Mkikataa kuzihudumia tunapeleka jeshi. Nyie watu wa kusini mbona hamuelewi serikali inachotaka?
 
Mbunge wa Tandahimba Katani Ahmed Katani amefunguka na kusema serikali imewataka baadhi ya wakulima kurudisha fedha walizolipwa baada ya korosho zao kuonekana hazina ubora

Amesema korosho hazijawahi kuwekewa madaraja tangia waanze kuzalisha korosho ila serikali ilipoamua kununua ndipo ikajitokeza korosho nyingine kuitwa za daraja la pili

Korosho zinazofikikia tani 50 zimerudishwa kwa wananchi na huku zaidi ya tani 2, 000 zikisemwa ni daraja la pili

Korosho inafika mahali unasoma tu habari zake kisha unapita chocho

Jr
 
Kufanya biashara ni kazi ndio maana Serikali nyingi zinajikita kuweka mazingira mazuri ya biashara na kukusanya kodi na kuondoa kodi yeyote itakayoonekana ni kero,ninyi mmechukua mzigo kwa Mali kauli kauzeni popote mtafute soko bila hata kulipia kodi mmeshindwa mnataka kurudisha mzigo kama ingekua wafanyabiashara kwa kuwa vitabu vyao vina profit and loss account wanajua waweke wapi ninyi hamna hasara kabisa kwenye vitabu vyenu vya biashara maana huwa mnajitapa kuvuka lengo kwa kukamua walipa kodi...
 
Ina maana walinunua bila ya kuhakikisha ubora?

Sasa Kwanini walishinikiza Wafanyabiashara binafsi wanunue korosho zote kwa bei Moja Elekezi wakati Korosho wametambua zima Madaraka?

Tatizo la Wanasiasa wetu wanaamini wao wana weledi wa Biashara, Uvuvi , kilimo, uimbaji, uchezaji Mpira , U DJ , n.k

Eneo pekee wanaloheshimu taaluma Ni Uchawi ndio sababu wachawi hawabughudhiwi

Sio wanasiasa wetu, sema jiwe ndio anajifanya anajua biashara, kilimo nk. Jiwe amedhibiti vyombo vya habari kwakuwa anajua yeye ni mtu wa kuharibu hivyo hataki udhaifu wake uandikwe. Haya Madudu yote yanatokea maana hana pressure ya vyombo vya habari.
 
Hahaha ila sisi watz ni masnitch haya ma-ccm walipoanza kuua kahawa kilimanjaro mkasema wale ni wachagga haya sasa poleni wana Ntwara
tapatalk_1550728415987.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom