Godo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 958
- 1,316
Mama kutupigisha hatua kubwa kutoka 32T hadi 41 na tutarajie 23/24 kufikia 50T kabisa.Kwani trilioni 41 unaziona nyingi?
Hapo Kenya bajeti trilioni 60 bwashee!
Mama kutupigisha hatua kubwa kutoka 32T hadi 41 na tutarajie 23/24 kufikia 50T kabisa.Kwani trilioni 41 unaziona nyingi?
Hapo Kenya bajeti trilioni 60 bwashee!
Hilo alifanya jakaya kwa zile sehemu zalishi hasa kwa chakula,mbolea zinazouzwa Sasa 120000 tulijua tunanunua 15000,magu akaja kutia na roho mbaya yake,kuweka ruzuku kwa mbolea nchi nzima haiwezekani,nchi masikiniInatakiwa mbolea ziwe na ruzuku... Kila mkulima aratibiwe apewe kupon ya ruzuku ya mbolea na pembejeo zngne...
Je wametenga kiasi gani ktk kilimo, uvuvi na mifugo?
Daaaaah umenikumbusha mbali sana kwenye sera za
1. KILIMO KWANZA
2. MKUKUTA
3. MKURABITA
4. MATOKEO MAKUBWA SASA
5. MEM& MES
Sijui ziliishiaga wapi?!
Tatizo ni usimamizi. Nchi inayoendeshwa kwa msingi wa kubembelezana na kupiga madili kulingana na urefu wa kamba haiwezi kuzipata hizo. Tusubiri kuambiwa kuwa vita ya Urusi na Ukraine iliathiri mapato kwa hiyo serikali ikalazimika kukopa ili kukdhi bajetiMbona kidogo tu hiyo si ni kama dollar billion 15-18 tu ukilinganisha na thamani ya nchi yetu Madini, vyanzo vya maji maliasili na kikubwa rasilimali watu karibia million 80.
Pesa nyingi imeelekezwa kwenye poshoHapo kwenye kilimo bila kupunguza bei ya mbolea itakuwa kazi na bure!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyu ukimtazama kwa six senses, He is a dangerous Leader ever!Tutafika salama kama hatutakwepa kuutambua ukweli ya kwamba nakisi ya bajeti yetu ya taifa itakamilika kupitia "donor fund" na "foreign debt". Natoa pongezi kwa waziri kwa kipaumbele chake katika kilimo.
Ila ushauri kwake, tusitegemee kilimo cha msimu, mikakati iwe katika kilimo cha uhakika cha umwagiliaji. With due respect, Mh. Mwigulu una nafasi kubwa sana ya kumrithi Rais SSH, ila una jambo moja kubwa kwako, nali ni kufanyia kazi maeneo ya udhaifu wako kuhusu "empowered altitudes" ili uweze kuwa bora zaidi ya "role model" wako JPM.
Fanyia kazi "weakness" zako ili uweze kuaminika zaidi na kuwa "presidential candidate material" zaidi ya hao wenye matamanio wenzako wa nafasi hiyo nyeti. Nafasi unayoishikilia ndiyo kete kete pekee muhimu kwako, na yenye kuonyesha kwa unaweza.
Pambana uwemo kwa wala posho badala ya kulaumu kila siku 😬😬Pesa nyingi imeelekezwa kwenye posho
Mumebakia kupiga ramli 😬😬😬😬.Tatizo ni usimamizi. Nchi inayoendeshwa kwa msingi wa kubembelezana na kupiga madili kulingana na urefu wa kamba haiwezi kuzipata hizo. Tusubiri kuambiwa kuwa vita ya Urusi na Ukraine iliathiri mapato kwa hiyo serikali ikalazimika kukopa ili kukdhi bajeti
Hujui kusoma? Basi Muulize MboweBajeti iliyopita ilikuwa trillion ngapi na imekamilishwa kwa % ngapi ?
Wewe ni fala , uliwahi kumsikia Mwendazake kwenye kampeni ya 2020 akielezea jinsi alivyoifanga Tzn kuwa ya viwanda?Kwani KILIMO KWANZA ililetaga mafanikio gani eti...?Na Mwigulu anaileta kauli mbiu hii tena kwa mlango wa bajeti...?
Na TANZANIA YA VIWANDA VYA MAGUFULI ndiyo kwa heri tena na wameamua kuizika kimoja na MwendazakeJPM...?
Na maana yake ni kuwa, vile viwanda 8,000 kila mkoa, kabla hata hatujaoneshwa vilipojengwa huku kwenye mikoa yetu, ma - CCM yameamua kutupiga changa la macho mchana kweupe, yameacha na wanakuja na kitu kingine tena...?
Hawa CCM hamna kitu, hawana jipya. Yaani CCM kwisha kazi....!!
Na wazazi wako walilaaniwa walipokuzaa wewe.Acha kulinganisha Kenya na nchi zilizolaaniwa!
Bado kuna watu watakwambia hiyo ni pesa nyingi sana, nadhani Unakumbuka jinsi kamkopo ka covid til.1.3 kalivyoleta makelele utafikiri ni pesa nyingi mno.yaani nchi za kiafrika ni masikini hadi zinatia huruma. imagine hii ndio bajeti ya taifa. tufanyeje aisee ili tuongeze pato la taifa? unajua hiyo bajeti yote kuna mafogo ulaya huko hiyo ni hela inayomilikiwa na familia? na kwa nchi,hiyo utakuta imetengwa yote sekta ya wizara moja tu.
Sibishani na watoto wanaojifunza umalaya! Mtoto siyo riziki wewe!Na wazazi wako walilaaniwa walipokuzaa wewe.
Ni zaidi ya hiyo mwaka jana ilikua trilioni 78 kenyaKwani trilioni 41 unaziona nyingi?
Hapo Kenya bajeti trilioni 60 bwashee!
Na tuna eneo kubwa la utawala na watu wengi kushinda Nchi zote za EAC.Ni zaidi ya hiyo mwaka jana ilikua trilioni 78 kenya
Imekuuma eeh! Ahahahahahahaha!Sibishani na watoto wanaojifunza umalaya! Mtoto siyo riziki wewe!
Pumbavu!Imekuuma eeh! Ahahahahahahaha!
Ahahahahahaha! Mpumbavu ni mamaako aliyekubali kuolewa na babaako na kuzaa litoto kama wewe! Ahahahahahaha!!!Pumbavu!