Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,721
Mama kazungukwa na nondo Wala watu😜😜😜😜
Mama kazungukwa na nondo Wala watu😜😜😜😜
Ulitaka azungukwe na wewe?Mama kazungukwa na nondo Wala watu😜😜😜😜
Enjoy mlo ni zamu yakoUlitaka azungukwe na wewe?
Na wewe endelea kusubiria wakati wa bwanaEnjoy mlo ni zamu yako
Usimamizi na ukusanyaji kodi like serious? Si mseme tu ukweli kuwa kutembeza bakuli kumesaidia kwenye hio 8% boostKichwa cha habari chahusika.
Serikali ya awamu ya Sita chini ya Iron lady Samia S.Hassan inatarajia kutumia takribani Til.41.9 kama bajeti kuu ya serikali Kwa mwaka 2022/2023..
Ikumbukwe hili ni ongezeko la asilimia 8% zaidi ukilinganishwa na bajeti inayoishia mwezi Juni ya mwaka 2021/2022.
Waziri wa Fedha Dr.Mwigulu aliyaelezo hayo juzi jumamosi wakati anawasilisha mpango wa ukomo wa bajeti kuu ya Serikali.
Ikumbukwe ongezeko hili ni kubwa ndani ya mwaka mmja wa serikali ya Samia kuwepo madarakani.
Ongezeko hilo limetokana na kuimarika kwa uchumi na usimamizi wa makusanyo ya Kodi bila kusahau Imani ya Jumuiya ya Kimataifa kwa serikali.
My take-Hii manake ni kwamba maendeleo zaidi na huduma Bora zaidi kwa wananchi.Tuendelee kuchapa kazi mambo mengi mazuri yanakuja.
View attachment 2148575
View attachment 2148576
Wewe ni mpuuzi,kuna mchanganuo hapo si usome afu uone ulivyo mjinga.Usimamizi na ukusanyaji kodi like serious? Si mseme tu ukweli kuwa kutembeza bakuli kumesaidia kwenye hio 8% boost
Upuuzi tu hamna cha mchanganuoWewe ni mjinga,kuna mchanganuo hapo si usome afu uone ulivyo mjinga.
Kaweke kabatini kwako huo upuuzi utakusaidia kulisha mkeoUpuuzi tu hamna cha mchanganuo
Usini attack kichoko wewe huna hoja, endelea kuwalamba masaburi wanaokupa buku 7 za kukulisha kila siku!Kaweke kabatini kwako huo upuuzi utakusaidia kulisha mkeo
Wewe mwenye hoja weka hapa justification ya unachoita hoja .Usini attack kichoko wewe huna hoja, endelea kuwalamba masaburi wanaokupa buku 7 za kukulisha kila siku!
Acha wale ila madarasa si umeyaona? Maji hujayaona?Bajeti ya kimchongo michongo hiyo inakuja. Zama zilizopita maafisa elimu wakuu wa shule wakandarasi wa Halmashauri na wakurugenzi wamekula fedha za COVID sasa kwa bajeti hii maafisa ugani na wakurugenzi wazalishaji na wasambazaji wa pembejeo watazitafuna sana maaana nasikia bajeti ya kilimo itakuwa imenona sana.
Hamna cha tofauti ni business as usual kwa sasa!Bajeti ya kimchongo michongo hiyo inakuja. Zama zilizopita maafisa elimu wakuu wa shule wakandarasi wa Halmashauri na wakurugenzi wamekula fedha za COVID sasa kwa bajeti hii maafisa ugani na wakurugenzi wazalishaji na wasambazaji wa pembejeo watazitafuna sana maaana nasikia bajeti ya kilimo itakuwa imenona sana.
Business as usual ndio nini? Nikuonyeshe cha tofauti?Hamna cha tofauti ni business as usual kwa sasa!
Hamna kipya cha kunionesha we mbugila mbugila, labda uchomaji wa kishamba wa masoko usiku!Business as usual ndio nini? Nikuonyeshe cha tofauti?
Wivu utakuua 😁😁.Hamna kipya cha kunionesha we mbugila mbugila, labda uchomaji wa kishamba wa masoko usiku!
Minjingu wanafanya nini kule? Only packing?Tanzania haizalishi/tengenezi mbolea,acha ujinga
Inatosheleza mahitaji? Ndio kwanza ujenzi wa kiwanda cha mbolea kikubwa unaendelea DodomaMinjingu wanafanya nini kule? Only packing?
Hiyo mbolea inayopigiwa kelele umepanda ni minjingu!?Minjingu wanafanya nini kule? Only packing?
Hapo kwenye kilimo bila kupunguza bei ya mbolea itakuwa kazi na bure!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tanzania haizalishi/tengenezi mbolea,acha ujinga