#COVID19 Serikali yawaonya wanaojipatia vyeti feki vya chanjo ya Corona

Wizara ya afya ni wazembe, watu wanataka vyeti ili waendelee na safari zao, wao wanapiga porojo tu hadi sasa vyeti bado, hizi ndio mambo ambazo Magu alikuwa lazima apige watu chini ili akili zije.
wazembe sana
 
Vyeti vya nini? Yaani serikali iliyo na wataalamu wa IT imeshindwa kutengeneza data base inayoonyesha Name, ID/Paassport ukifanya scan kwa simu yako basi inaonyesha "Inoculated" very simple. Hivi tupo wajima kiasi gani hii nchi??
Chama Cha Mbumbumbu idiots party
 
Ndugu yangu ,swala la vyeti vya kuchanjwa corona' kwa jinsi hali ilivyo na tunavyoelekea duniani, kwa watu wanaotarajia kusafiri kwenda nchi yoyote nje ya Tz, cheti kitakuwa na umuhimu na wala hautaweza kuvuka bila document kama hizo, unless wewe ni mtu ambaye maisha yako yote itabidi ubakie nchini kwako.
Vyeti vya korona vinasaidia nini ama vina faida gani?

Vinazuia mtu kufa kwa corona ama?
 
Vyeti vya nini? Yaani serikali iliyo na wataalamu wa IT imeshindwa kutengeneza data base inayoonyesha Name, ID/Paassport ukifanya scan kwa simu yako basi inaonyesha "Inoculated" very simple. Hivi tupo wajima kiasi gani hii nchi??
Hii ipo USA, Philippines, na sehemu kibao lakini still Access to database ipo na kazi inafinyika na watu wanapewa utambulisho kama wa yule alie chanjwa. Huduma inapatikana kwa $200 tu.
 
Umenikumbusha kaka yake Mh. Medard Kalemani alikuwa mtendaji wa Kata wilaya ya chato akakutwa na vyeti feki🤣
 
Vyeti vya korona vinasaidia nini ama vina faida gani?

Vinazuia mtu kufa kwa corona ama?
Itafikia muda hutaweza kuingia nchi au hata ofisi fulani bila uthibitisho wa chanjo, sasa wasiotaka kuchanja itabidi watafute njia ya kuwa na huo uthibitisho.
 
Screenshot_20210805-080941.png
 
Serikali kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Bwana Abel Makubi amesema kumeanza kujitokeza vitendo vya kujipatia vyeti feki vya chanjo ya Covid-19 hivyo amewaomba wananchi kuwa wasijaribu kujiingiza kwenye mkenge wa kujipatia vyeti feki vya Covid-19.

Katibu Mkuu amesisitiza kuwa kuwa Wizara ya Afya ndio pekee inatoa vyeti vya chanjo ya Covid-19 na kwa sasa iko kwenye mchakato wa kuandaa vyeti vya wote waliopata chanjo hivyo wasidanganywe kupata vyeti feki

Na pia ameendelea kuwaonya watu wote ambao hawajachanjwa chanjo ya Corona wasiendelee na mipango ya kujipatia vyeti feki vya chanjo kwani wakibainika watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Chanzo: Magazeti

My take:

Katika hili Wizara ya Afya inatakiwa kuwajibika kabisa kwenye huu uzembe unaopelekea watu kuanza udanganyifu kwani walitakiwa kujiandaa kabisa kabla ya kuletwa chanjo , inakuwaje watu wachanjwe halafu wasubiri vyeti?

Kwanini mfumo ule wa utoaji wa vitambulisho vya kupigia kura usingelitumika? Kwanini tusiseme hii ni hujuma? Kweli Waziri na Katibu wake wako makini kweli?

Upuuzi mkubwa.
Kuzaliwa cheti
Kubatizwa cheti
Sd7 chati
4m4 cheti
4m6 cheti
Chuo cheti
Ndoa cheti
Corona cheti.

Imekuwa Nchi ya vyeti?
 
Serikali kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Bwana Abel Makubi amesema kumeanza kujitokeza vitendo vya kujipatia vyeti feki vya chanjo ya Covid-19 hivyo amewaomba wananchi kuwa wasijaribu kujiingiza kwenye mkenge wa kujipatia vyeti feki vya Covid-19.

Katibu Mkuu amesisitiza kuwa kuwa Wizara ya Afya ndio pekee inatoa vyeti vya chanjo ya Covid-19 na kwa sasa iko kwenye mchakato wa kuandaa vyeti vya wote waliopata chanjo hivyo wasidanganywe kupata vyeti feki

Na pia ameendelea kuwaonya watu wote ambao hawajachanjwa chanjo ya Corona wasiendelee na mipango ya kujipatia vyeti feki vya chanjo kwani wakibainika watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Chanzo: Magazeti

My take:

Katika hili Wizara ya Afya inatakiwa kuwajibika kabisa kwenye huu uzembe unaopelekea watu kuanza udanganyifu kwani walitakiwa kujiandaa kabisa kabla ya kuletwa chanjo , inakuwaje watu wachanjwe halafu wasubiri vyeti?

Kwanini mfumo ule wa utoaji wa vitambulisho vya kupigia kura usingelitumika? Kwanini tusiseme hii ni hujuma? Kweli Waziri na Katibu wake wako makini kweli?
Hakuna cheti halali cha chanjo kilichowahi kutolewa baada ya kupima, ni usanii mtupu. Wanafanya hivyo huku wakiujua ukweli na siri iliyo nyuma ya chanjo
 
Serikali kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Bwana Abel Makubi amesema kumeanza kujitokeza vitendo vya kujipatia vyeti feki vya chanjo ya Covid-19 hivyo amewaomba wananchi kuwa wasijaribu kujiingiza kwenye mkenge wa kujipatia vyeti feki vya Covid-19.

Katibu Mkuu amesisitiza kuwa kuwa Wizara ya Afya ndio pekee inatoa vyeti vya chanjo ya Covid-19 na kwa sasa iko kwenye mchakato wa kuandaa vyeti vya wote waliopata chanjo hivyo wasidanganywe kupata vyeti feki

Na pia ameendelea kuwaonya watu wote ambao hawajachanjwa chanjo ya Corona wasiendelee na mipango ya kujipatia vyeti feki vya chanjo kwani wakibainika watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Chanzo: Magazeti

My take:

Katika hili Wizara ya Afya inatakiwa kuwajibika kabisa kwenye huu uzembe unaopelekea watu kuanza udanganyifu kwani walitakiwa kujiandaa kabisa kabla ya kuletwa chanjo , inakuwaje watu wachanjwe halafu wasubiri vyeti?

Kwanini mfumo ule wa utoaji wa vitambulisho vya kupigia kura usingelitumika? Kwanini tusiseme hii ni hujuma? Kweli Waziri na Katibu wake wako makini kweli?
Haya matukio ndani ya michakato yote yenye kuambatana na wizi, kugushi ubabaishaji na vitu batili ndiyo haswa kinaonyesha taswira halisi ya CCM jinsi ambavyo kinaendesha shughuli za kiserikali. Motisha kubwa kuwa ni wizi na kujali matumbo yao.

Kama katika mambo muhimu tu ya kitaifa kama vile uchaguzi mkuu na ule wa serikali za mitaa, vitongoji na vijiji walithubutu kufanya wizi na hujuma pasipo kuwa aibu yoyote ile, Je! Nini ambacho kitawashinda kuendelea kufanya madudu yao tena?

Kama tu vyeti vya kitaaluma ama wasifu wa makada wa wengi umejaa mambo ya uongo na kugushi, Je! Wanashindwa ni kuwa na vyeti vya kugushi katika hili la chanjo za UVIKO 19?
 
Back
Top Bottom