Serikali yawanyang'anya mashine za maji wakulima na kusababisha kukauka kwa ekari 200 za vitunguu

Iko hivi jamani, kiutaratibu mtu anapochukua/kuhitaji maji toka mtoni ,ziwani,chemchem na hata tu kuchimba kisima chake mwenyewe, NI LAZIMA apate kwanza kibari cha kutumia maji (water permit).

Kwakuwa wao wapo kwenye kikundi kilichosajiliwa, walitakiwa (na wanajua) kwenda Ofisi ya Bonde la mto Pangani (Moshi) kwa ajili ya kupewa ridhaa ya kutumia kiasi MAALUMU cha maji toka mtoni kwa kuangalia ukubwa wa eneo lao na aina ya mazao wanayolima (Vitunguu/mbogamboga).

Hiyo ni sheria kabisa ya maji iliyopitishwa na Bunge. Usipowabana, wanachukua pump kubwa tena nyingi na wanyonye maji mtoni bila utaratibu,kitu ambacho hukausha au kupunguza maji mtoni.

Ikumbukwe pia, upande wa chini ya mto (downstream point) kuna watumiaji wengine wa mto na kuna viumbe hai wanaotegemea huo mgao wa maji.

Mfano:

Ziwa jipe (Wilayani Mwanga) ndo chanzo cha mto Kifaru ambao hupeleka maji Bwawa la Nyumba ya Mungu ambapo ndo mto Pangani (unaoenda mpaka baharini) umeanzia hapo.

Sasa ukiwaruhusu ovyo wananchi wakanyonya maji ya mto Kifaru, nn kitatokea?

Tatizo tu elimu na mkazo vitolewe kwa wananchi hao,siyo kulalama.
So dawa ni kuwanyang'anya mashine zote ili vitunguu vikauke? Au wangeregulate maji kwa kutumia gate? Unazungumziaje issue ya mvua kuchelewa?
 
Hapakuwa na haja ya kufika huko, maelewano na mamlaka husika yangefikiwa tu bila tatizo. Tatizo kubwa ni kwamba kuna wana UKAWA wanaojihusisha na Kilimo hiki cha vitungu kujitafutia riziki.

Mwalimu Nyerere alituletea "Siasa Kilimo" 1972, miaka 44 baadae, Magufuli anatuletea "Kilimo Siasa".
 
Nilisema siku zilizopita hapa WaPo walionielewa but kama serikali inasikia vilio hivi ni lazima ijitathimini. Huwezi kumpa mtu hasara kiasi hicho. Mimi nilipataga hasara ya mahindi kwa agizo la mkuu wa mkoa. Kwann hawataki kujadili suluhu? Wanakalia kukamata pump? Ninaamini madhara yake ni kutengeneza majambazi mtaani kwani vijana wengi wameajiriwa katika mashamba hayo.
Serikali tafuteni suluhu.
 
KIPI niliwahi kuwa nae oficeni nikapeleka mpaka barua. Nikapeleka barua ipitishwe iende kwa MKUU WA mkoa ikapotelea kwake.

Mr KIPI kaa chini tafakarini. For sure mnaumiza watu. Ni bora mkatangaza marufuku kutumia maji na kujishulisha na kilimo.
Ivi mnajuwa kutunza mbegu ya kitunguu siku 45 kitaluni ni sh ngapi? Mnajuwa kilo ya kitunguu aina RED BOMBEY ni sh. Ngapi? Aiseee Mr kipi DHAMBI MNAZOFANYA NI KUBWA HAZISAMEHEKI.

YOTE HAYA MNAFANYA KWASABABU YA KABURU AU NI MAAGIZO?

TUMEAMBIWA TUFANYE KAZI NA TUMEJIAJIRI KATIKA KILIMO NACHO HAMTAKI TULIME? ALOOO KWELI WATANZANIA NI KIBOKO.
 
  • Thanks
Reactions: 999
Huyu jamaa ukatili na manyanyaso anayoyafanya kwa baadhi wa Watanzania unatisha sana utadhani hawa si Watanzania bali ni wahamiaji haramu, hata wahamiaji haramu nchini hawadhalilishwi kiasi hiki.

Sijapata kuona serikali KATILI kwa watu wake kama hii.
 
Iko hivi jamani, kiutaratibu mtu anapochukua/kuhitaji maji toka mtoni ,ziwani,chemchem na hata tu kuchimba kisima chake mwenyewe, NI LAZIMA apate kwanza kibari cha kutumia maji (water permit).

Kwakuwa wao wapo kwenye kikundi kilichosajiliwa, walitakiwa (na wanajua) kwenda Ofisi ya Bonde la mto Pangani (Moshi) kwa ajili ya kupewa ridhaa ya kutumia kiasi MAALUMU cha maji toka mtoni kwa kuangalia ukubwa wa eneo lao na aina ya mazao wanayolima (Vitunguu/mbogamboga).

Hiyo ni sheria kabisa ya maji iliyopitishwa na Bunge. Usipowabana, wanachukua pump kubwa tena nyingi na wanyonye maji mtoni bila utaratibu,kitu ambacho hukausha au kupunguza maji mtoni.

Ikumbukwe pia, upande wa chini ya mto (downstream point) kuna watumiaji wengine wa mto na kuna viumbe hai wanaotegemea huo mgao wa maji.

Mfano:

Ziwa jipe (Wilayani Mwanga) ndo chanzo cha mto Kifaru ambao hupeleka maji Bwawa la Nyumba ya Mungu ambapo ndo mto Pangani (unaoenda mpaka baharini) umeanzia hapo.

Sasa ukiwaruhusu ovyo wananchi wakanyonya maji ya mto Kifaru, nn kitatokea?

Tatizo tu elimu na mkazo vitolewe kwa wananchi hao,siyo kulalama.
Nakuheshimu sana Wewe binadamu mwenzangu. Nilishaenda pale bonde nataka kulipia wakanikatalia. Isue hapa wanatakiwa Wewe wawazi.

Kwanza wanakiuka mkataba. Tpc na ongama wana masaa ya kutumia maji cha ajabu wanatumia masaa yote. Na katika maji hayo wananchi wana lita zao na hao wawekezaji wana zao.
Pili kuna taarifa za kiinteligensia kuwa kiwango cha maji walichopewa sicho wanachokipata ni zaidi lakini wao wanaangalia upande wa raia tu.

Kingine kuna vyanzo vizivyo rasmi vinaingiza maji mfano mto rau n.a. mafiriko yanayotoka msandaka na maeneo mengine lakini hawalioni ilo zaidi ya upande wa raia.

TOENI TAMKO WATU WASITUMIE MAJI YA HAYO KWA SHUGULI ZA KILIMO. MNATUUMIZA SIO SIRI.
 
Uzuri kila siku zinavyoenda tumeanza ongea kwa lugha moja iko siku wote tutanena kwa lugha moja piah sio mbali
 
Ishu uelewa wa chanzo cha kuporwa machhawakuawazuiwe na kubari kwa eka 200 wanatumia maji mengi sana na kwa hali ya ukame iliopo na huo mto unatgemewa kwa matumizi ya wengne,ilikua lazima wazuiwe,
Kwa mtu anaefanya kilimo cha umwagiliaji unajua mfumo ulivo.
Usiropoke Wewe boya unajuwa maji mengi yanaenda huko?. Unajuwa hayo maji yanapoenda? Na kazi yake nn huko yaendako? Aisee kama huwezi kuchangia usiandike kitu kalale ukuwe
 
Hakuna nchi Isiyo na sheria.
Ni lazima nchi iwe na utaratibu.Sio Kila mtu anajifanyia anavyotaka Huwez kuruhusu wakulima wachache wachezee vyanzo vya maji.Wakulima wa Lower Moshi na maeneo mengine wanatumia maji Sheria ipo wazi kuhusu hilo.Hakuna kuchezea vyanzo vya maji
Ni lazima mtumia maji awe na kibali na nidhamu.
Wenye pump hawana water right wanasababisha upungufu wa maji kwa down stream users
Ni lazima wananchi Wasichezee vyanzo vya maji n hatari kwa maisha ya wengi. Na kuwa na water right kwa pump n kitu kigumu sana!!
Kila siku tunasikia wakulima wa Kahe wanaugomvi n.a. kiwanda cha sukari TPC sababu ya uhaba wa maji.Lower Moshi kuna water shortage na only stable source of water n Rau river ambayo chanzo chake n chemchem za Miwaleni (wananchi wanakichezea Serikali ikae kimya????) Kila mtu atumie maji anavyotaka?? Wengine wakikosa mtalalamikia tena serikali
Wanaochezea maji kwenye chanzo ni nani? Serikali iliwaruhusu akina G Five kufanya usafi chemchem na hao wanavuta maji pale pale chemchemu. Sasa hizo mashine mlizokamata zilikuwa kwenye chanzo cha maji? Musijichanganye semeni ukweli kwann mnasumbua watu?
 
KIPI niliwahi kuwa nae oficeni nikapeleka mpaka barua. Nikapeleka barua ipitishwe iende kwa MKUU WA mkoa ikapotelea kwake.

Mr KIPI kaa chini tafakarini. For sure mnaumiza watu. Ni bora mkatangaza marufuku kutumia maji na kujishulisha na kilimo.
Ivi mnajuwa kutunza mbegu ya kitunguu siku 45 kitaluni ni sh ngapi? Mnajuwa kilo ya kitunguu aina RED BOMBEY ni sh. Ngapi? Aiseee Mr kipi DHAMBI MNAZOFANYA NI KUBWA HAZISAMEHEKI.

YOTE HAYA MNAFANYA KWASABABU YA KABURU AU NI MAAGIZO?

TUMEAMBIWA TUFANYE KAZI NA TUMEJIAJIRI KATIKA KILIMO NACHO HAMTAKI TULIME? ALOOO KWELI WATANZANIA NI KIBOKO.
Mkuu.. kuna watu toka wamezaliwa hawajui msamiati shida... wala hawatambui uwepo wa masikini na wapigania maisha kwa kuvuja jasho.. watu wa aina hiyo huwa hawajali kitu muhimu yao yanawanyookea
 
KIPI niliwahi kuwa nae oficeni nikapeleka mpaka barua. Nikapeleka barua ipitishwe iende kwa MKUU WA mkoa ikapotelea kwake.

Mr KIPI kaa chini tafakarini. For sure mnaumiza watu. Ni bora mkatangaza marufuku kutumia maji na kujishulisha na kilimo.
Ivi mnajuwa kutunza mbegu ya kitunguu siku 45 kitaluni ni sh ngapi? Mnajuwa kilo ya kitunguu aina RED BOMBEY ni sh. Ngapi? Aiseee Mr kipi DHAMBI MNAZOFANYA NI KUBWA HAZISAMEHEKI.

YOTE HAYA MNAFANYA KWASABABU YA KABURU AU NI MAAGIZO?

TUMEAMBIWA TUFANYE KAZI NA TUMEJIAJIRI KATIKA KILIMO NACHO HAMTAKI TULIME? ALOOO KWELI WATANZANIA NI KIBOKO.

wamburuze mahakamani mpaka kieleweke
 
Magufuli ni mtu mwenye visasi sana yaani ameamuwa kuwakomesha watu wa kasikazini kwa kumnyima kura
 
  • Thanks
Reactions: 999
Hongera serikali kwa kuchikua uamuzi sahihi.Sisi ni matajiri hatupaswi kufanya kazi.Ni kula na kwenda gym.


Nenda kajifunze kuandika hapa sio sehemu ya kujifunza kiswahili UVCCM wote wajinga tu.


swissme
 
Hapakuwa na haja ya kufika huko, maelewano na mamlaka husika yangefikiwa tu bila tatizo. Tatizo kubwa ni kwamba kuna wana UKAWA wanaojihusisha na Kilimo hiki cha vitungu kujitafutia riziki.

Mwalimu Nyerere alituletea "Siasa Kilimo" 1972, miaka 44 baadae, Magufuli anatuletea "Kilimo Siasa".
Ukawa wapo juu ya sheria?
 
Back
Top Bottom