gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,670
- 2,165
kwani wale wanaofukuzwa kazi kwa makosa hayo hayamo?
Hizo zilikuwepo na labda bado zipo kuna Jamaa alikua amepandishwa madaraja kama matatu mbele yaani yeye bats tu na shangwe ila uhakiki ulivyoanza alifuatwa na Afisa mwajiri na baada ya hapo ile Hela anakatwa iliyokua imezidi .****Siku moja nilishangaa sana baada ya kuona jamaa niliyesoma naye chuo mwaka mmoja, tukapangwa kazi kituo kimoja na kufundisha darasa moja ila masomo tofauti, amenizidi 190,000 ilihali mimi nimefaulisha somo langu kwa 90%.....Niliacha kabisa hiyo kazi na kupambana na Maisha yangu kivingine!
Leo namshukuru Mungu, nayamudu maisha yangu kwa ujasiriamali. Nahata niliowaajiri wanamzidi mshahara yule jamaa!!!
Ukiona mambo hayaendi mlima huu, hamia mwingine...Milima haitaisha hadi Yesu arudi mara ya pili***
Kama uhakiki wa vyeti na watumishi hewa umechukua miaka miwili sembuse kutafuta walevi na wazembe!Nyongeza na madaraja tarajieni 2019/20!Muda huo mkiongezewa na mkipewa kazi ya kusimamia uchaguzi naamini wala hamtakumbuka mtakayokuwa mtendewa kati ya 2015/16-2018/19!Tuliambiwa mishahara ya November itakuwa mipya, sasa wanakuja na hizi habari ili watuambie kwamba bado wanafanya assessment ya walevi na wavivu, hili nalo litachukua mwaka mzima.
Wanatafuta namna ya kukimbia jukumu.
Term hii sheria na kanuni zimekanyagwa na bahati mbaya wenye nafasi ya kuwapazia sauti nao wapo chini ya uvungu