Serikali yatoa siku 3 FCC itoe ripoti kwanini bei za Soda zimepanda, pia imetoa siku 7 ijulishwe kwanini Vifaa vya Ujenzi vimepanda Bei

Katiba inasema Rais angalau awe na degree

Lakn samia elimu yake n utata watu tunalifumbia macho hili

Tutaendeshwa Sana na Hawa wasio na elimu

Hawez kukemea sababu uwezo wake n mdogo kifup hajui chochote

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Itakuwa bei imepanda baada ya wadada wa mjini kuanza kuzitumia kukata kiu zao 😁😁
 
Katiba inasema Rais angalau awe na degree

Lakn samia elimu yake n utata watu tunalifumbia macho hili

Tutaendeshwa Sana na Hawa wasio na elimu

Hawez kukemea sababu uwezo wake n mdogo kifup hajui chochote

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Acha matusi koko wewe....

Nchi si jalala....wenye PhD's na sifa nyinginezo ndio waliofanya vetting na kumuona anafaa kuwa Rais wetu.....

#Siempre JMT🙏
 
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara ameitaka tume ya ushindani FCC kutoa ripoti kwa serikali ikieleza kwanini Vinywaji baridi na Vifaa vya ujenzi vimepanda bei.

Waziri ametoa siku 3 kwa ripoti ya Sida na siku 7 kwa vifaa vya ujenzi ziwe zimemfikia kwani inashangaza kusikia Soda zimeadimika ghafla soda zimerudi na bei iko juu.

Source: ITV habari
Sio soda tu hata maji saiv ni ya shida ,, waulize wanaofanya biashara ya vinywaj vya jumla.

Nina rafk yangu anafanya biashara hii anasema hali ni tete, Kuanzia mwezi Dec maji na soda ni adimu ukitaka maji unatoa order unaweza letewa baada hata ya wiki au siku 5 wakati zaman gari kila siku zilikua zinaleta maji,, kiufupi tu hakuna biashara hii nchi sijui tatizo ni nini?

Wanaosambaza soda sasa wanaringa unaweza agiza soda labda peps kret 100 cha ajabu wakaja na mirinda tupu
 
Kwani bidhaa kupanda bei inawahusu mataga? Wao hawahusiki; mapimzani yanasomeshwa namba kweli kweli! Jamani let's sit and discuss how to run our nation kwa pamoja; hamtaki!
 
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara ameitaka tume ya ushindani FCC kutoa ripoti kwa serikali ikieleza kwanini Vinywaji baridi na Vifaa vya ujenzi vimepanda bei.

Waziri ametoa siku 3 kwa ripoti ya Sida na siku 7 kwa vifaa vya ujenzi ziwe zimemfikia kwani inashangaza kusikia Soda zimeadimika ghafla soda zimerudi na bei iko juu.

Source: ITV habari
Kwenye vifaa vya ujenzi ali ni mbaya
 
coca cola ni maintenance problem kutokana na ngozi nyeupe walikwenda likizo ya mwisho wa mwisho wa mwaka pia mkanda ukazingua kiwandani. hivyo unatumika mkanda mmoja ndio maana wanazalisha soda aina moja kila baada ya siku kadhaa.walioko hawana ujuzi mpaka warudi ngozi nyeupe.

imepelekea pepsi kutumika kwa wingi kuliko uzalishaji wake. pia jua linachangia watu kunywa vinywaji baridi kwa wingi. tar 20 ngozi nyeupe watakuwepo kwenye nchi ya kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake
Kwani coca cola wapo na kiwanda kimoja kwa Tanzania nzima? Vipi mbeya kilikufa? Pia Moshi?

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara ameitaka tume ya ushindani FCC kutoa ripoti kwa serikali ikieleza kwanini Vinywaji baridi na Vifaa vya ujenzi vimepanda bei.

Waziri ametoa siku 3 kwa ripoti ya Sida na siku 7 kwa vifaa vya ujenzi ziwe zimemfikia kwani inashangaza kusikia Soda zimeadimika ghafla soda zimerudi na bei iko juu.

Source: ITV habari
Msoga crew aka wapigaji wameshika usukani
 
Dr. Ashantu namkubali sana ni miongoni mwa Mawaziri Serious kwenye kazi, mfuatiliaji mzuri sana.
mwenye kujitoa kwa ajili ya wananchi.
naamini kuna jambo litayokea.

Inasikitisha sana kuona tuna wataalamu wa kutosha ktk kila idara za Serikali lkn wamekaaa kimyaaa.........bidhaaa zinapanda bei ovyoo, bidhaa zinaadimika......wao wapo kimya kama vile hawapo......!!!

watanzania mlio pewa dhamana ktk nafasi mbalimbali badilikeni.

Ina maana yeye hakuwepo bungeni wakati sheria za kodi zinapitishwa na budget ya kupanda kwa kodi na ongezeko la kodi linafanyika? hivi navyo ni vituko!
 
Siku hiz wengi wanaogopa majuice ya viwandani.maji yananyweka zaidi.

Hata wangefunga kabisa hayo majuice masoda yenye misukari ya kuokoteza.inaongezea serkali gharama za matibabu
 
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara ameitaka tume ya ushindani FCC kutoa ripoti kwa serikali ikieleza kwanini Vinywaji baridi na Vifaa vya ujenzi vimepanda bei.

Waziri ametoa siku 3 kwa ripoti ya Sida na siku 7 kwa vifaa vya ujenzi ziwe zimemfikia kwani inashangaza kusikia Soda zimeadimika ghafla soda zimerudi na bei iko juu.

Source: ITV habari
Hakuna lolote SIASA TU
 
Back
Top Bottom