Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Hatimaye serikali imetoa rukhsa kwa watu binafsi kuanzisha makampuni ya uzalishaji umeme na kuiuzia serikali.Tamko hili limetolewa na waziri wa nishati na madini,william ngeleja akidai kwamba yote hii ni mikakati ya kuhakikisha Tanzania inapata nishati ya umeme ya kutosha.