Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Mwalim anaweza akaingia darasan akauza chai dk 80,mtamfanyaje????
siku nyingi wanafanya hii na hii inaitwa WORK AS YOU EARN ( WAYE)
Mwalim anaweza akaingia darasan akauza chai dk 80,mtamfanyaje????
Katika hali ya kustaabisha serikali kupitia kwa maafisa elimu wilaya wamesambaza form zinazowataka walimu wajaze kama wanaunga mkono mgomo au la.
Huku ni kujikanganya kwani chombo pekee kisheria chenye mamlaka ya kuwauliza wafanyakazi kama wanataka mgomo au la ni CHAMA CHA WAFANYAKAZI KILICHOSAJILIA NA CWT WANAKIDHI KATIKA HILO.
To my fellow teachers:
Tusikubali hata kidogo kupewa kitisho hiki ambacho naweza kuita cha kijinga na DHAIFU letu liwe moja TUSIENDA KAZINI JAPO HIZI SIKU TANO TUWAPE MUDA WA KUSHUGHULIKIA MADAI YETU LA SIVYO HAWA WATATUTAKA TULIPIE KODI HATA HII PUMZI YA BURE TUIVUTAYO
Source: AFISA ELIMU MZALENDO NA MWENYE MACHUNGU NA WALIMU KWA NAE NI MWALIMU ALIYEPANDA CHEO HIVI KARIBUNI
haiwezekani kuwafukuza walimu wote, huo ndio ukweli wasiwatishe walimu.
hata huku bunda nimeona afisa elimu na kamati ya ulinzi na usalama wakijiandaa kupeleka fumu hizo mashuleni