Serikali yatenga shilingi bilioni 33 kuboresha shule za vipaji maalum

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Serikali imepanga kukarabati na kuboresha shule 88 za vipaji maalum, waziri wa elimu Profesa Joyce Ndalichako aliyasema hayo siku ya jumanne tarehe 28/06/2016 katika maadhimisho ya siku ya elimu nchini iliyofanyika katika shule ya sekondari Mzumbe iliyopo wilaya ya Mvomero mkoa wa Morogoro.

''Tutaanza na shule hii (Mzumbe), Ilboru na Weruweru katika hatua za kurudisha heshima zilizokuwa nazo zamani''
Amesema serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni 33 kwa awamu ya kwanza utakaoanza na shule 33

''Tunatarajia kufanya maboresho haya katika awamu tatu, pamoja na kuzipa shule hizi walimu wenye vigezo. Tumeongea na washirika wa kimaendeleo kushirikiana nasi na tutaanza wiki ijayo'' aliwaambia wageni waalikwa katika maadhimisho hayo
 
Hii ya mwisho "....pamoja na kuzipa shule hizi walimu wenye vigezo....", kidogo ina ukakasi na binafsi sijaipenda iwapo waziri alitumia lugha ya namna hii.

Kwani walimu wanaokuwa wanafundisha shule ambazo "sio za vipaji maalumu" hawana vigezo?.....Naiona kama ni kauli yenye chembe chembe ya unyanyapaa flani.....

Nadhani angesema tu ".....na kuhakikisha shule hizi zinakuwa na walimu wa kutosha....." ingetosha na kueleweka pasipo maswali kwani moja ya tatizo kubwa la shule za umma nyingi ziwe maalumu au hata hizi zisizo maalumu kwa mtazamo wao ni upungufu wa walimu wa baadhi ya masomo hasa ya sayansi.

Aidha, sisi wote pamoja na serikali yenyewe ambayo ndiyo inaratibu mchakato mzima wa kuandaa walimu, tunaamini kila mwalimu akiajiriwa ktk shule za serikali basi maana yake anakuwa amethibitishwa kuwa ana sifa na vigezo vyote kulingana na level anayopaswa kufundisha mwalimu huyu!!
 
Hii ya mwisho "....pamoja na kuzipa shule hizi walimu wenye vigezo....", kidogo ina ukakasi na binafsi sijaipenda iwapo waziri alitumia lugha ya namna hii.

Kwani walimu wanaokuwa wanafundisha shule ambazo "sio za vipaji maalumu" hawana vigezo?.....Naiona kama ni kauli yenye chembe chembe ya unyanyapaa flani.....

Nadhani angesema tu ".....na kuhakikisha shule hizi zinakuwa na walimu wa kutosha....." ingetosha na kueleweka pasipo maswali kwani moja ya tatizo kubwa la shule za umma nyingi ziwe maalumu au hata hizi zisizo maalumu kwa mtazamo wao ni upungufu wa walimu wa baadhi ya masomo hasa ya sayansi.

Aidha, sisi wote pamoja na serikali yenyewe ambayo ndiyo inaratibu mchakato mzima wa kuandaa walimu, tunaamini kila mwalimu akiajiriwa ktk shule za serikali basi maana yake anakuwa amethibitishwa kuwa ana sifa na vigezo vyote kulingana na level anayopaswa kufundisha mwalimu huyu!!
Mkuu tukumbuke hao wanafunzi ni wenye vipaji si wakawaida.hapo watatoka wanasayansi na pengine baadhi ya viongozi wa kesho.kukidhi viwango vya ziada ni muhimu sana.
 
Mkuu tukumbuke hao wanafunzi ni wenye vipaji si wakawaida.hapo watatoka wanasayansi na pengine baadhi ya viongozi wa kesho.kukidhi viwango vya ziada ni muhimu sana.

Moja ya shule (nadhani) anazozungumzia waziri ni Tabora Schools (Boys & Girls)

Mimi nimesomea Tabora Boys kwa masomo yangu ya A'level miaka ya tisini nikitokea Kibaha S.S nilikomalizia masomo yangu ya sekondari O'level

As for the case ya wanafunzi wenye "vipaji maalumu". Hii dhana kwa Tanzania hata sijawahi kuielewa

Hebu niambie kwa mfano pale Iliboru S.S hivi kuna wanafunzi wenye vipaji maalumu au ni shule tu iliyotengwa kwa wanafunzi walio na ufaulu wa alama za juu bila kujali amefaulu kwa njia gani?.....Kwangu mimi ndicho ninachokiona!!

Ni kwanini hizi shule ziitwe za vipaji maalumu eti? Ni kwa kigezo hiki cha kupata alama za juu ktk masomo yoote?

Hoja yangu ilikuwa ni walimu wenye vigezo. Na kamwe sikuona tofauti ya walimu walionifundisha Kibaha na hawa wa Tabora Boys as a special school!!

Na labda nikuambie kitu kimoja kuwa hakuna cha wanafunzi wenye vipaji maalumu wala nini.

Mimi naamini kuwa wanafunzi woote ktk shule zoote kila mmoja ana kipaji chake!!

Kuna wenye vipaji vya kuimba, kucheza, ubunifu wa kisayansi, mavazi, sanaa za uchoraji nk

Je, shule zetu zimekuwa categorized kwa kuzingatia components za vipaji hivi ili kila mwanafunzi aende ktk shule husika kulingana na kipaji chake?
 
kweli kaka umeongea point... kuna watu akuli zao zinawadanganya diamond hana kipaji kisa hajasoma mzumbe au ilboru... ila hao hao ndio wa kwanza kuingia harusini na wake zao huku wakicheza nyimbo za diamond tu.. huku kuna wanamuziki kibao nchini...

kipaji ni kuwa na uwezo mkubwa kulinganisha na wenzako kwa kitu chochote unachokifanya..

usain bolt ana kipaji cha riadha..

lebron james ana kipaji cha basketball

lionel messi ana kipaji cha football.

na mifano mingi kama hiyo...

Moja ya shule (nadhani) anazozungumzia waziri ni Tabora Schools (Boys & Girls)

Mimi nimesomea Tabora Boys kwa masomo yangu ya A'level miaka ya tisini nikitokea Kibaha S.S nilikomalizia masomo yangu ya sekondari O'level

As for the case ya wanafunzi wenye "vipaji maalumu". Hii dhana kwa Tanzania hata sijawahi kuielewa

Hebu niambie kwa mfano pale Iliboru S.S hivi kuna wanafunzi wenye vipaji maalumu au ni shule tu iliyotengwa kwa wanafunzi walio na ufaulu wa alama za juu bila kujali amefaulu kwa njia gani?.....Kwangu mimi ndicho ninachokiona!!

Ni kwanini hizi shule ziitwe za vipaji maalumu eti? Ni kwa kigezo hiki cha kupata alama za juu ktk masomo yoote?

Hoja yangu ilikuwa ni walimu wenye vigezo. Na kamwe sikuona tofauti ya walimu walionifundisha Kibaha na hawa wa Tabora Boys as a special school!!

Na labda nikuambie kitu kimoja kuwa hakuna cha wanafunzi wenye vipaji maalumu wala nini.

Mimi naamini kuwa wanafunzi woote ktk shule zoote kila mmoja ana kipaji chake!!

Kuna wenye vipaji vya kuimba, kucheza, ubunifu wa kisayansi, mavazi, sanaa za uchoraji nk

Je, shule zetu zimekuwa categorized kwa kuzingatia components za vipaji hivi ili kila mwanafunzi aende ktk shule husika kulingana na kipaji chake?
 
Moja ya shule (nadhani) anazozungumzia waziri ni Tabora Schools (Boys & Girls)

Mimi nimesomea Tabora Boys kwa masomo yangu ya A'level miaka ya tisini nikitokea Kibaha S.S nilikomalizia masomo yangu ya sekondari O'level

As for the case ya wanafunzi wenye "vipaji maalumu". Hii dhana kwa Tanzania hata sijawahi kuielewa

Hebu niambie kwa mfano pale Iliboru S.S hivi kuna wanafunzi wenye vipaji maalumu au ni shule tu iliyotengwa kwa wanafunzi walio na ufaulu wa alama za juu bila kujali amefaulu kwa njia gani?.....Kwangu mimi ndicho ninachokiona!!

Ni kwanini hizi shule ziitwe za vipaji maalumu eti? Ni kwa kigezo hiki cha kupata alama za juu ktk masomo yoote?

Hoja yangu ilikuwa ni walimu wenye vigezo. Na kamwe sikuona tofauti ya walimu walionifundisha Kibaha na hawa wa Tabora Boys as a special school!!

Na labda nikuambie kitu kimoja kuwa hakuna cha wanafunzi wenye vipaji maalumu wala nini.

Mimi naamini kuwa wanafunzi woote ktk shule zoote kila mmoja ana kipaji chake!!

Kuna wenye vipaji vya kuimba, kucheza, ubunifu wa kisayansi, mavazi, sanaa za uchoraji nk

Je, shule zetu zimekuwa categorized kwa kuzingatia components za vipaji hivi ili kila mwanafunzi aende ktk shule husika kulingana na kipaji chake?
Nakubaliana nawe kuna haja ya kudefine na kucategorise maana ya kipaji maalum ili kupunguza abuse of privilege.
 
Moja ya shule (nadhani) anazozungumzia waziri ni Tabora Schools (Boys & Girls)

Mimi nimesomea Tabora Boys kwa masomo yangu ya A'level miaka ya tisini nikitokea Kibaha S.S nilikomalizia masomo yangu ya sekondari O'level

As for the case ya wanafunzi wenye "vipaji maalumu". Hii dhana kwa Tanzania hata sijawahi kuielewa

Hebu niambie kwa mfano pale Iliboru S.S hivi kuna wanafunzi wenye vipaji maalumu au ni shule tu iliyotengwa kwa wanafunzi walio na ufaulu wa alama za juu bila kujali amefaulu kwa njia gani?.....Kwangu mimi ndicho ninachokiona!!

Ni kwanini hizi shule ziitwe za vipaji maalumu eti? Ni kwa kigezo hiki cha kupata alama za juu ktk masomo yoote?

Hoja yangu ilikuwa ni walimu wenye vigezo. Na kamwe sikuona tofauti ya walimu walionifundisha Kibaha na hawa wa Tabora Boys as a special school!!

Na labda nikuambie kitu kimoja kuwa hakuna cha wanafunzi wenye vipaji maalumu wala nini.

Mimi naamini kuwa wanafunzi woote ktk shule zoote kila mmoja ana kipaji chake!!

Kuna wenye vipaji vya kuimba, kucheza, ubunifu wa kisayansi, mavazi, sanaa za uchoraji nk

Je, shule zetu zimekuwa categorized kwa kuzingatia components za vipaji hivi ili kila mwanafunzi aende ktk shule husika kulingana na kipaji chake?
Enzi gani mkuu,enzi za kina mwombeki, magesa,kajuna,au?
 
Moja ya shule (nadhani) anazozungumzia waziri ni Tabora Schools (Boys & Girls)

Mimi nimesomea Tabora Boys kwa masomo yangu ya A'level miaka ya tisini nikitokea Kibaha S.S nilikomalizia masomo yangu ya sekondari O'level

As for the case ya wanafunzi wenye "vipaji maalumu". Hii dhana kwa Tanzania hata sijawahi kuielewa

Hebu niambie kwa mfano pale Iliboru S.S hivi kuna wanafunzi wenye vipaji maalumu au ni shule tu iliyotengwa kwa wanafunzi walio na ufaulu wa alama za juu bila kujali amefaulu kwa njia gani?.....Kwangu mimi ndicho ninachokiona!!

Ni kwanini hizi shule ziitwe za vipaji maalumu eti? Ni kwa kigezo hiki cha kupata alama za juu ktk masomo yoote?

Hoja yangu ilikuwa ni walimu wenye vigezo. Na kamwe sikuona tofauti ya walimu walionifundisha Kibaha na hawa wa Tabora Boys as a special school!!

Na labda nikuambie kitu kimoja kuwa hakuna cha wanafunzi wenye vipaji maalumu wala nini.

Mimi naamini kuwa wanafunzi woote ktk shule zoote kila mmoja ana kipaji chake!!

Kuna wenye vipaji vya kuimba, kucheza, ubunifu wa kisayansi, mavazi, sanaa za uchoraji nk

Je, shule zetu zimekuwa categorized kwa kuzingatia components za vipaji hivi ili kila mwanafunzi aende ktk shule husika kulingana na kipaji chake?
Umenena vyema kiongozi.
 
Long live Mr.Massele.
Long live Mr. Mrisho.
Long live Mr Kamlali.
Long live Mr. Choya.
Long live Mr. Maduka.
Long live Mr. Madafu(japo nilikuwa nakuchukia sana).

Long live (why not, ng'ambo, wosso, student center, tukutuku).
MAGESE,NYANDA,KAJUNA,MKUMBA,MWOMBEKI,SHENDU,.....LIMEBANI,NG'AMBO,Woso ha ha ha
 
MAGESE,NYANDA,KAJUNA,MKUMBA,MWOMBEKI,SHENDU,.....LIMEBANI,NG'AMBO,Woso ha ha ha
ha ha ha

aisee umenikumbusha hiyo ya limebani.

Kuna limtungi moja hivi la gesi limekatwa nusu limetundikwa kwenye mwembe nyuma ya bweni kuu kule Ruhinda na Kimweri lilikuwa linatumika kama kengele ya msosi enzi zetu, yaani nililiacha miaka hiyo mpaka leo nimerudi nikalikuta aiseee.

Tabora School safi sana, maisha ya pale nusu chuo.
 
Moja ya shule (nadhani) anazozungumzia waziri ni Tabora Schools (Boys & Girls)

Mimi nimesomea Tabora Boys kwa masomo yangu ya A'level miaka ya tisini nikitokea Kibaha S.S nilikomalizia masomo yangu ya sekondari O'level

As for the case ya wanafunzi wenye "vipaji maalumu". Hii dhana kwa Tanzania hata sijawahi kuielewa

Hebu niambie kwa mfano pale Iliboru S.S hivi kuna wanafunzi wenye vipaji maalumu au ni shule tu iliyotengwa kwa wanafunzi walio na ufaulu wa alama za juu bila kujali amefaulu kwa njia gani?.....Kwangu mimi ndicho ninachokiona!!

Ni kwanini hizi shule ziitwe za vipaji maalumu eti? Ni kwa kigezo hiki cha kupata alama za juu ktk masomo yoote?

Hoja yangu ilikuwa ni walimu wenye vigezo. Na kamwe sikuona tofauti ya walimu walionifundisha Kibaha na hawa wa Tabora Boys as a special school!!

Na labda nikuambie kitu kimoja kuwa hakuna cha wanafunzi wenye vipaji maalumu wala nini.

Mimi naamini kuwa wanafunzi woote ktk shule zoote kila mmoja ana kipaji chake!!

Kuna wenye vipaji vya kuimba, kucheza, ubunifu wa kisayansi, mavazi, sanaa za uchoraji nk

Je, shule zetu zimekuwa categorized kwa kuzingatia components za vipaji hivi ili kila mwanafunzi aende ktk shule husika kulingana na kipaji chake?
smart thinking!
 
Back
Top Bottom