Chamkoroma
Senior Member
- Sep 6, 2010
- 186
- 11
Wapenda wenzangu wana wa ukweli na uwazi, serikali kutenga bil 20.3 kwa jali ya anasa wakati wanafunzi wa shule za serikali bado wanakaa kwenye mawe na wengine chini ya mwembe au chini ya tembe tuwafanye nini hao wanaokula nchi kama chatu anayekula mbwa kwa mbwa kumkimbilia badala ya kukimbia? Jamani tukubali tusikubali mwisho mwema utaletwa na wa TZ wenye uchungu wa kweli wakijua wazi kuwa kura yako ni ukombozi wa Taifa lako, kwa pamoja kwa umoja tutashinda, lkn tukiwaangalia usoni nakuwaona kama ndugu zetu maisha yetu na ndugu zetu yataendelea kuwa mambaya sn.