Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,779
- 18,745
Serikali imetangaza kuvirudisha vituo vya TV za ndani kwenye vin'amuzi baada ya kuondolewa kwa muda mrefu kutokana na matatizo ya kimkataba
Vituo hivyo jumla yake ni 34 na vitaonekana kwenye visimbusi 4 vya Zuku, Continental, Ting na Star Times kufikia tarehe 5 Septemba mwaka huu
Vituo hivyo jumla yake ni 34 na vitaonekana kwenye visimbusi 4 vya Zuku, Continental, Ting na Star Times kufikia tarehe 5 Septemba mwaka huu