Serikali yatangaza awamu ya pili ya ajira 5000 za Walimu

Ni kwel Watu Wanapigiwa cm, Wanaombwa Email unatumia Barua ya ajira. Kwenye Barua Kuna eleza ukaripoti , Katika shule fulan. mfano rafiki angu kaambia Akaripoti Halmashauri ya Mbinga jan 04.2021 barua mimi Nimeona , Nimeprint Mwenyewe stationery. Jina la shule alio enda Kulipoti nalihifidhi.
 
Ni kwel Watu Wanapigiwa cm, Wanaombwa Email unatumia Barua ya ajira. Kwenye Barua Kuna eleza ukaripoti , Katika shule fulan. mfano rafiki angu kaambia Akaripoti Halmashauri ya Mbinga jan 04.2021 barua mimi Nimeona , Nimeprint Mwenyewe stationery. Jina la shule alio enda Kulipoti nalihifidhi.
Daaah ni kweli tunakusanya ushahidi ili tuyafanyie kazi
 
Serikali imeamua kudanganya vijana kutoa ajira 5000 za walimu mwezi February na mwezi umeisha hakuna kitu
 
Serikali imeamua kudanganya vijana kutoa ajira 5000 za walimu mwezi February na mwezi umeisha hakuna kitu
Zishatoka kitambo mbona boss 🤣🤣 mm nilipigiwa simu na tamisemi kuwa niendelee kulima, vipi ww hujapokea cm yoyote toka tamisemi 😁😁
 
Pambana kuhubiri uongo
Iwe uongo au ukweli kauli ya prime minister na ndo kauli ya mwajili inasema ajira 5000 tayar , zishatoka na watu wamepangiwa vituo na wanapiga kazi, basi kama serikali ni ya Baba ako subiri hzo ajira 5000 mana mna vichwa vigumu kama vya samaki asiyekolea viungo
 
Hivi majuzi ukiwa bungeni ulisema mmeajiri walimu 5000 wiki mbili zilizokuwa zimepita.

Tunachoomba uwaambie Watanzania kuwa mmezitangaza lini hizo ajira na majina ya walimu waliopangiwa shule yako wapi?

Tunaomba sana na sisi maskini mtuheshimu, kwani daima Mungu wetu hupigania zaidi maskini.

Tunaomba mtoe majibu haraka ili Hasira ya Mungu mwenye haki isije kuwalamba.
Mada ya kitoto. Unataka orodha ya majina 5000? Ya nini? Baadaye utataka orodha ya watoto 2,000,000 wanaosoma bure Darasa la 5, unwajua? Huyo Mungu mwenye hasira bora nenda kaungame kina tubdulissu wanakera ushogga au Chadema kunyanyasa kingono viti maalum. Mada ya kitoto.
 
Bado mnamatumaini na ajira za awamu hii?? Subirini awamu ijayo labda aweza kuwa kama rais mstafu
 
Baada ya kutoa ajira kwa walimu takribani 8000 mwaka jana, serikali ilidai kuwa Kuna ajira takribani 5000 ili kukamilisha ajira mpya 13,000 zilizokuwa zimetangazwa.

Mpaka sasa,ajira zilizo mbioni kutangazwa ni 6000 za kuziba mapengo ya walimu wastaafu na waliofariki.
Je,hizi 5000 mpya zimeyeyuka?
Au
Sisi watanzania wote ni wajinga?

Inshallah, zetu dua.
 
Serikali ya Ccm kuajiri sio kipaumbele chao na hakijawahi kuwa kipaumbele chao. Vijana mnaendelea kuchezewa kiini macho
 
Ila walimu wasumbufu asee..hawa viumbe hawaishi kulialia..ndio mana mnapelekeshwa kama watoto...tulieni pigeni kazi ajira kama zipo mtapata tu..hata hivyo sio wote mtakao pata hivyo jiandaeni kisaikolojia.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom