Amoxlin
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 3,784
- 4,089
Speech yake ilikatwa ili kubeba kiini alichokusudia msambazaji wa ile video.Magazeti bhana kwa kutunga story sasa kwenye speech yake mbona hajatatamka kuwa amefuta bali kazungumzia mfumo mpya wa kuajiri walimu
Nadhani ingeachwa speech nzima ungeyasikia yote.