cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,149
- 136,648
Kwenye sehemu ya kusajiliwa utajaza nini, au utaweka faili fake kama lile la K Lyn
Kwenye sehemu ya kusajiliwa utajaza nini, au utaweka faili fake kama lile la K Lyn
Hivi huwa wanasajiliwa?Wazee na afisa ustawi wa jamii lazima asajiliwe?? Na barua ya usibitisho wa kazi kutoka kwa mkurugenzi kama uliwahi kujitoloea ni muhimu sana ..
Ivi kwa mfano nimesoma bachelor of science in mathematics naweza kuomba maana kufundisha hesabu niko vizuri pia naendelea kujitolea hapa shuleniKila kitu kinawezekana kuwa na imani mungu ndio anagawa rizik nakumbuka tarehe 12/9/2020 nikiwa na apply nilikuwa wa 92000 na nilipata majin yalivotoka
Mpaka uwe na education maana huna pedagogical skillsIvi kwa mfano nimesoma bachelor of science in mathematics naweza kuomba maana kufundisha hesabu niko vizuri pia naendelea kujitolea hapa shuleni
Mkuu ulipangiwa shule uliyoomba? Ulipangiwa vijijini?Kila kitu kinawezekana kuwa na imani mungu ndio anagawa rizik nakumbuka tarehe 12/9/2020 nikiwa na apply nilikuwa wa 92000 na nilipata majin yalivotoka
Unataka kubadilisha application latterNaomba kuuliza, unaweza kubadili attachments zilizokwisha tumwa baada ya usajili kukamilika?
Kwahiyo system itanikataaa?(hiyo pedagogical skills inatumika pia wakati wa kuomba?)Mpaka uwe na education maana huna pedagogical skills
Ata ukipangiwa kituo ukienda kulipoti una hakikiwa, yaan wanataka pure teacherKwahiyo system itanikataaa?(hiyo pedagogical skills inatumika pia wakati wa kuomba?)
Jibu nililokuwa nalitaka nimelipata kumbe hata kama siyo mwalimu naweza kuomba ok,Ata ukipangiwa kituo ukienda kulipoti una hakikiwa, yaan wanataka pure teacher
Nafsi inasita alafu kuna ninapofanya kazi na mkataba hujaisha.Kwanini?
Kama unaruhusiwa kuvunja mkataba utakapopata dili lingine rudisha barua utege na hapa pia.Nafsi inasita alafu kuna ninapofanya kazi na mkataba hujaisha.
Ndio unaweza, ndio maana kuna option za kubadili maamuzi kwenye mtandao.Naomba kuuliza, unaweza kubadili attachments zilizokwisha tumwa baada ya usajili kukamilika?
Endapo Sysytem haitakukataa basi Halmashauri watafanya hivyo.Kwahiyo system itanikataaa?(hiyo pedagogical skills inatumika pia wakati wa kuomba?)
Minadhani ungekua na postgraduate diploma in education ingekua support kubwa kwakoIvi kwa mfano nimesoma bachelor of science in mathematics naweza kuomba maana kufundisha hesabu niko vizuri pia naendelea kujitolea hapa shuleni
Omba tu mkuu. Sifa yako ipo hapo mbona kuna kipengele kimeandikwa elimu maalumu kwa masomo ya physics, chemistry, biology and mathematicsIvi kwa mfano nimesoma bachelor of science in mathematics naweza kuomba maana kufundisha hesabu niko vizuri pia naendelea kujitolea hapa shuleni
Jamaa zangu wengi tu walipataga afu wengine ndio wanasoma postgraduate saaiziMinadhani ungekua na postgraduate diploma in education ingekua support kubwa kwako
SawaJamaa zangu wengi tu walipataga afu wengine ndio wanasoma postgraduate saaizi
Aah elimu maalumu ni wale wa bachelor of education in special needs(Bed SpedOmba tu mkuu. Sifa yako ipo hapo mbona kuna kipengele kimeandikwa elimu maalumu kwa masomo ya physics, chemistry, biology and mathematics
Mimi na kozi kama yako ila nimeomba na kuna jamaa zangu wengi tu nilimaliza nao zamani walishagapata miaka ya nyuma.
Sio iko kipengele mkuu kipo kingineAah elimu maalumu ni wale wa bachelor of education in special needs(Bed Sped