Hapo ishaupload inataka uview sema uwezo wa simu kuview nndo mdogoHii shida inatokana na Nini kila nikiuplood barua, inaganda hiviView attachment 1783234
kiswahili ni sawa na kingereza ni sawa.Wadau hivi barua Inaandikw kwa kiswahili au kiingereza?
Umefanikiwa kureset?Aliyesahau pasword na akafanikiwa kureset atusaidie mbinu alotumia
Kwa vile maombi yamepokelewa I don't think kama kuna tatizo katika hilo!Uwii na Mimi jina la Kati mfumo unakataa kuliondoa
Limit ni machaguo matanoIvi mwisho ni machaguo mangapi ya shule? maana kuna mtu kanambia kaweka machaguo 10
Kumi yote ya niniLimit ni machaguo matano
ATA ukichagua shule mbili, inakubali tuLimit ni machaguo matano
Sasa ukijitolea unaishije mzee...au mlikuwa mnalipwa mshahara!?Serikali haiwezi ajili walimu wote ....ulishauriwa jitolee kuna faida yake wewe ukakomaa boda boda sasa leo unalalamika tukusaidiaje????
Kupiga vimizinga ni kipaji kile,usidhani kila mtu anawezaHuyo marehemu unasema ni bora aliajiri hata mwalimu mmoja? Shukuru hata zimetoka hizo hata kama wewe usipopata wenzako wakipata sio sawa na wote mkiwa hamna ajira.
Angalau hata rafiki yako akipata unaweza kumpiga vimizinga vya hapa na pale. Kuwaga na shukrani mda mwingine bwashee.
Balance siku 2 unaenda zingine 3 unapiga mishe za pesa....iki upate cover letter ....Sasa ukijitolea unaishije mzee...au mlikuwa mnalipwa mshahara!?
Kwanini haunaHV kama mtu hana transcript application inaweza kwenda
Namaanisha machaguo maximum ni shule tano ila unaweza kuchagua pungufu ya hapo kutegemeana na kipendeleo chakoATA ukichagua shule mbili, inakubali tu
Reset password utumie account yako ya zamani. Mfumo haukubali mtu mmoja kuwa na account mbili tofautiMsaada tafadhali! Nilisahau password za account yangu ya maombi ya ajira nikajaribu kubadili ikashindikana, nikajaribu kufungua account nyingine ikafanikiwa ila kila nikiingiza index no. system inasema index number already exist. Nitumie njia gani kufanikisha maombi?