Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 798
- 843
Acha kumdanganya mwenzioSio iko kipengele mkuu kipo kingine
Acha kumdanganya mwenzioSio iko kipengele mkuu kipo kingine
Wako jamaa zangu wengi tu wameajiriwa kwa kozi hizo hasa bachelor in physics na wa bachelor in mathematics wapo wameajiriwa kama waalimu.Acha kumdanganya mwenzio
Uwiiiii mzikiHabar zenu,kuna mtu anatafuta msaada...majina aliyotumia kwenye vyet vyake vya kitaaluma pamoja na chet cha kuzaliwa yanatofautiana na majina ya kitambulisho cha taifa,swali n je anaweza kubadilisha majina ya vyeti?na mlolongo wake uwa uko vp...Asanten
Aende mahakaman akapewe deed pollHabar zenu,kuna mtu anatafuta msaada...majina aliyotumia kwenye vyet vyake vya kitaaluma pamoja na chet cha kuzaliwa yanatofautiana na majina ya kitambulisho cha taifa,swali n je anaweza kubadilisha majina ya vyeti?na mlolongo wake uwa uko vp...Asanten
Deep poll ndo nn mkuuAende mahakaman akapewe deep poll
Deep poll ndo nn mkuu
Oky...AsanteeNi kiapo unapewa mahakaman kuthbtisha kitu flan either majina au chet ni chako
Typing error Ni Deed pollDeep poll ndo nn mkuu
Nipe laki na nusu nikusaidie.Habar zenu,kuna mtu anatafuta msaada...majina aliyotumia kwenye vyet vyake vya kitaaluma pamoja na chet cha kuzaliwa yanatofautiana na majina ya kitambulisho cha taifa,swali n je anaweza kubadilisha majina ya vyeti?na mlolongo wake uwa uko vp...Asanten
28/06majina yanatoka lini Kwani?