MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,924
- 8,911
Chatu lenye mapembe yenye vichwa saba.Aina gan ya Joka mkuu!
Chatu lenye mapembe yenye vichwa saba.Aina gan ya Joka mkuu!
Serikali imesimamisha leseni ya uchapishaji na usambazaji wa gazeti la The Citizen kwa muda wa siku 7 kuanzia leo Jumatano, Februari 27, 2019
Gazeti hilo latuhumiwa kuchapisha taarifa za kuporomoka kwa shilingi ya Tanzania
Makala hiyo iliegemea katika kutaarufu maoni ya wataalamu juu ya mdororo huo wa shilingi
Habari hiyo ilichapishwa Februari 23 mwaka huu(2019)
View attachment 1033493
Haya sasa, ukivaa gwanda unajiita kamanda, msomi, mzalendo, mkombozi. Ukiletewa hoja mezani unaanza matusi. Zungumza facts, unaposema shilingi imeporomoka umeangalia nini? Unaposema uchumi unayumba kwa vigezo gani n.k w.kWe ni punguani wa unga, unaefikiri kwa makalio, nani asiyejua shilingi imeporomoka, nani asiyejua uchumi unayumba,nani asiyejua miropoko yenu imeleta tafrani kwenye korosho, kikokotoo, michanga ya madini nk.
INaporomoka kwenda juu au kwenda chini?kama limeandika shilingi inaporomoka wakati kweli imeporomoka kuna kosa gani?
kuporomoka kwa shilingi hakupo gizani, kila Mtanzania anaona na/au ku feel effect yake!
Havina uhusiano pumba tupuKuporomoka kwa shilingi ni jambo moja, kutangaza kuwa shilingi imeporomoka ni jambo jingine.
Hii ni sawa na kupata VVU, na kutangazwa bila ridhaa yako kuwa una VVU.
Ni kweli havina uhusiano, ilikuwa ni haki yao kutangaza na ndio maana kafungiwa. Uonevu huu.Havina uhusiano pumba tupu
hebu imagine hatua ya kwanza ya kupambana na kuporomoka kwa shilingi ya Tanzania ni kufungia gazeti kwa siku saba....
Usijisumbue na aina hii ya watu. Wakati wa JK dolla haikuwahi kufika shilling 2250una roho ngumu sana ! hivi nyie wengine mama zenu wako madarakani au ni ushetani tu ? enzi za jk uliona jeshi likibangua korosho au kukosekana kwa ajira kwa miaka minne mfululizo ?
Labda walitakiwa wapate kibali kutoka benki kuu au rais mwenyewekama limeandika shilingi inaporomoka wakati kweli imeporomoka kuna kosa gani?
kuporomoka kwa shilingi hakupo gizani, kila Mtanzania anaona na/au ku feel effect yake!
Labda walitakiwa wapate kibali kutoka benki kuu au rais mwenyewe
Kuporomoka kwa shilingi ni jambo moja, kutangaza kuwa shilingi imeporomoka ni jambo jingine.
Hii ni sawa na kupata VVU, na kutangazwa bila ridhaa yako kuwa una VVU.
kama limeandika shilingi inaporomoka wakati kweli imeporomoka kuna kosa gani?
kuporomoka kwa shilingi hakupo gizani, kila Mtanzania anaona na/au ku feel effect yake!
Leo shs vs usd ikojeHaya sasa, ukivaa gwanda unajiita kamanda, msomi, mzalendo, mkombozi. Ukiletewa hoja mezani unaanza matusi. Zungumza facts, unaposema shilingi imeporomoka umeangalia nini? Unaposema uchumi unayumba kwa vigezo gani n.k w.k
Sasa kama mtaweka jazba mbele, mkiandamana tutawapiga, tena tutawapiga kweli.