Serikali yashtuka kutoka usingizini; Msekwa ajibu tuhuma za ufisadi Ngorongoro

Sometimes politicians misuse their platform to aggrandize their plublicity. The allegations against Msekwa should have been corroborated in the courtroom if at all were substantive. The fact that whistleblowers keeps on vacillating over sending an issue before justice proves that the accusation is nothing but inauthentic smear.
 
Tuhuma dhidi ya Mswekwa ni ukweli tena ukweli MTUPU, amekuwa akilazimisha, na mpaka sasa ni yeye anayelazimisha Ujenzi wa hii HOTELI. Hilo eneo ni mapitio ya FARU, EIA-report inaonyesha hivyo, wataalamu wa ngorongoro walilizungumzia hilo na kila kukicha wanapiga kelele, kuna report imepelekwa UNESCO naamini wakiendelea kilaziomisha Ngorongoro itakuwa de regesterd na UNESCO<br />
<br />
Huyu mzee ni jeuri na kiburi chake kinatokana na ukaribu make na Mkuu wa KAYA, kama hamjui kipindi cha kampeni Mkuu wa kaya alikuwa anaishi kwenye nyumba za ngorongoro zilizopo hapo Arusha, je Msekwa ataachaje kuwa na kiburi? kama anamlindia mkubwa maslahi?. tena alikuwa mbioni kumsaidia Ali Al bawardy miliki wa Belila kupata eneo ngorongoro ila UNESCO ILIWEKA ngumu<br />
<br />
Huyu mzee amekuwa hajali kabisa maslahi ya wamasai wanaoishi ngorongoro, aliendesha zoezi la kuwahamisha baadhi ya masai kutoka ngorongoro kwa uonevu mkubwa ili hali hii jamii imeishi ngorongoro bila kuzuru wanyama kwa miaka mingi<br />
<br />
cha msingi hawa watawala WEUSI, WANACHOKIFANYA WANATAFUNA MALIASILI ZETU LEO BILA KUANGALIA VIZAZI VIJAVYO VITARIDHI NINI<br />
<br />
imefika mahali sasa watanganyika tuamke HII MIZEE AINA YA AKINA MSEKWE IMEKUWA MADARAKANI KWA MIAKA ZAIDI YA 50 HAWAJATULETEA CHOCHOTE, CHA MUHIMU NI VIJANA TUAMKE NA TUWAAMBIE BASI
<br />
<br />
 
Kweli umenena, inaleta uchungu sana kwa wazee hawa ambao baadhi yao wamewahi kushika nyadhifa kubwa serikalini! So what do we do you and me to alleviate the problem?
 
Msekwa mwizi hana hata aibu,haya tuone manake ndie aliyemchonganisha Jakaya na wenzie akilazimisha watoke kwa ababu ni magamba mzee anakula mikono na M-a-t-a-ko hana aibu kabisa miaka hamsini hajatosheka tuu wizi mtupu ,
 
Lazima uwe great thinker na tena uwe na roho ngumu. Vinginevyo, yanayojidhihirisha jukwaani unaweza kuwa mwehu, aisee... nitarudi ngoja nikajipumzishe kwenye jokes.
 
huyu mzee ana lake jambo........................hivi atueleze ilikuwaje mstaafu Bernard Murunya ambaye ni mkerewe mwenzie anaendelea kuongezewa

Benard Murunya si mkerewe bali ni mjita wa Chumwi. Mke wake Hasen Wavamuno ni dada wa tajiri mmoja wa Uganda wa kabila la wabaganda.

Fanya utafiti kabla ya ku-click.
 
Haya Mapanya yamezaliana sana yamekula nafaka zote ndani sasa yatakula hata visigino vyetu maana matoto yao ndo maroho mpaka yanatishia usalama humu ndani. Ni kutokana na uzembe wetu wa kutoweka mapaka ya uhakika ya kuyakamata. Mapaka yenyewe ni sisi vijana kugombea nyadhifa mbalimbali kama udiwani na kuendelea vinginevyo mapanya yatatufuna visigino. Mfano mzuri ni BUNGENI mapanya sasa hivi yamekamatwa pabaya yanaumbuka kila leo ni kwa sababu ya wapinzani. Kamwe bajeti isingekuwa inakwama bila wapinzani. Hii nchi ni yetu sote vijana tuamke wake kwa wanaume tuanze na udiwani bila kujali elimu zetu, tukijaa kwenye Halmashauri tutayaponda mapanya yote na kuyamaliza. Chama kama chadema kwa sasa hata ungeweka jiwe raia watalipigia na litashinda kwa kishindo kama hakuna uchakachuaji. Kinaleta matumaini na tusikubali uchakachuaji kwa kulinda maamuzi yetu. Mapanya watahaha sana siku za usoni nawathibitishia na dalili zimeshaanza kuonekana. SHIME VIJANA.
 
Kichwa cha habari hakijakaa sawa, Serikali hii ilikwisha toka usingizini muda umekwenda-saa 5:00 mchana, imekuta nchi zingine zimeamka alfajiri ziko mbali kimaendeleo. Serikali hii imekurupuka kwenye shuka ikajikuta iko kwenye mikataba ya kishenzi kabisa inashindwa ianzie wapi, imechanganyikiwa na kuanza kufanya kazi kwa matukio!

Cha ajabu kabisa watendaji wengi wakitazamana usoni wanajikuta ni wezi wanashindana kukwiba kwa urefu wa kamba zao, kwa wale waadilifu inabidi wajiunge nao ili wasitazamwe kwa jicho baya la kwanini hawaibi huenda wana ajenda ya siri.
 
Kwa akili zenu,do you thing Mkuu wa Kaya hakuwa na habari za hawa live animals kwenda UARABUNI?

Hawa akina Ezekiel Maige ni ni young boys,namjua vizuri tangu high school,wamewekwa ni chambo tu,maamuzi yote yanatoka IKULU.
 
naomba tuelewe uzalendo sio maneno ni matendo, hawa wazee wetu ukweli neno uzalendo wanaliongea tu lakini utekelezaji wake ni zero kabisa hivyo sioni cha ajabu maana nchi hii maneno ni mengi kuliko utendaji porojo kila kona ni aibu na laana ndani ya nchi tusipoamka kuachana na hawa wazee wanaosubiriwa jehana sio muda mrefu hakuna maendeleo ni wizi na utapeli kila kukicha
 
Bintimkongwe.
Hakuwa twiga mmoja aliyechukuliwa na lile dege la Arabuni. Walikuwa zaidi ya sita. Na wala hatujui huyu shehe kailipa serikali kiasi gani au yalikuwa maelewano baina yake na Luhanjo. By the way, nasikia waheshimiwa wa TANAPA wamejaza majengo ya kisasa huko Dubai na Qatar. Hizi si hela za madafu eti.

Idadi ya wanyama waliobebwa na lile dege inajulikana (120) na hata iwe twiga sita sidhani kama ndiyo watasababisha twiga kumalizika Tanzania. Tatizo, kama ulivyoongea wewe hapo huu ni kwamba hizo fedha haziingii kwenye mfuko wa serikali na hakuna manufaa tunayopata kama nchi. Hilo nakubaliana na wewe. Na hao wenye vijisenti vya kununua majengo huko Dubai huo ni ujinga tu na ni lazima washtakiwe kwa makosa yao kwani mishahara ya watz inaeleweka vizuri sana.
 
Haya mambo yanatia machungu!! Aaaah ngoja nitoke zangu naona siku inazidi kuharibika.

Hawa watu hawatatoka mpaka tuwalazimishe watoke...
 
Back
Top Bottom