Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
issue ni kuwa hatuna serikali
<br />Tuhuma dhidi ya Mswekwa ni ukweli tena ukweli MTUPU, amekuwa akilazimisha, na mpaka sasa ni yeye anayelazimisha Ujenzi wa hii HOTELI. Hilo eneo ni mapitio ya FARU, EIA-report inaonyesha hivyo, wataalamu wa ngorongoro walilizungumzia hilo na kila kukicha wanapiga kelele, kuna report imepelekwa UNESCO naamini wakiendelea kilaziomisha Ngorongoro itakuwa de regesterd na UNESCO<br />
<br />
Huyu mzee ni jeuri na kiburi chake kinatokana na ukaribu make na Mkuu wa KAYA, kama hamjui kipindi cha kampeni Mkuu wa kaya alikuwa anaishi kwenye nyumba za ngorongoro zilizopo hapo Arusha, je Msekwa ataachaje kuwa na kiburi? kama anamlindia mkubwa maslahi?. tena alikuwa mbioni kumsaidia Ali Al bawardy miliki wa Belila kupata eneo ngorongoro ila UNESCO ILIWEKA ngumu<br />
<br />
Huyu mzee amekuwa hajali kabisa maslahi ya wamasai wanaoishi ngorongoro, aliendesha zoezi la kuwahamisha baadhi ya masai kutoka ngorongoro kwa uonevu mkubwa ili hali hii jamii imeishi ngorongoro bila kuzuru wanyama kwa miaka mingi<br />
<br />
cha msingi hawa watawala WEUSI, WANACHOKIFANYA WANATAFUNA MALIASILI ZETU LEO BILA KUANGALIA VIZAZI VIJAVYO VITARIDHI NINI<br />
<br />
imefika mahali sasa watanganyika tuamke HII MIZEE AINA YA AKINA MSEKWE IMEKUWA MADARAKANI KWA MIAKA ZAIDI YA 50 HAWAJATULETEA CHOCHOTE, CHA MUHIMU NI VIJANA TUAMKE NA TUWAAMBIE BASI
huyu mzee ana lake jambo........................hivi atueleze ilikuwaje mstaafu Bernard Murunya ambaye ni mkerewe mwenzie anaendelea kuongezewa
Bintimkongwe.
Hakuwa twiga mmoja aliyechukuliwa na lile dege la Arabuni. Walikuwa zaidi ya sita. Na wala hatujui huyu shehe kailipa serikali kiasi gani au yalikuwa maelewano baina yake na Luhanjo. By the way, nasikia waheshimiwa wa TANAPA wamejaza majengo ya kisasa huko Dubai na Qatar. Hizi si hela za madafu eti.