Komeni kulalamika kwani wakati wa uchaguzi mwaka jana mlimpigia kura nani?
Wajameni mbona nyie mko hivyo kwani hamjui kuwa kura zetu NEC na TISS walichakachua. Bila NEC na TISS M.k.w.e.r.e asingekuwa raisi hivi leo. Mgomvi wenu siyo sisi wafanyakazi bali hao NEC na TISS