Wakati wa Mkapa tarehe 25 ya mwezi mishahara ilikuwa tayari, December, tarehe 20 mishahara ilikuwa imeshaingia watu wanapata moyo wa kazi. Huwezi amini hadi leo mishahara ya wengi wa wafanyakazi wa umma haijaingia. Mimi si mfanyakazi wa umma ila rafiki zangu wengi wanalia njaa. Ukiona serikali imeshindwa kulipa mshahara ujue imefika mwisho.