Serikali yashangaa gesi ya kupikia kupanda bei, yataka viwanda vieleze sababu ya ongezeko hilo

Mbona Maisha ya mtu wa chini yanazidi kua magumu awamu hii ya sita?
Mara tozo
Mara Bei ya mafuta na Sasa hii bbei ya gesi.
Hivi viongozi wa hii serikali hawajui kwamba Bei ya gesi ikipanda misitu itazidi kuteketea.
 
Serikali imesema viwanda vya gesi ya kupikia havijafata utaratibu katika kupandisha bei hivyo bei mpya hazitambuliki.

Afisa wa Ewura mr Kaguo amesema viwanda vya gesi vimetakiwa vipeleke vigezo vya kupandisha bei na serikali ama itavibariki na kukubali bei mpya ama itavikataa kama havijitoshelezi.

Source: ITV habari
Serekali ya kipuuzi hii
 
Serikali inashangaa nini wakati imeridhia kuongezeka bei ya nishati ya mafuta? Kama nauli na bei za usafirishaji - matokeo yako ni beinza bidhaa kupanda!!

Hakutakuwa na kupungua kwa bei ya gesi kwa sababu wezi hawa jinsi bei inavokuwa juu - ndivo pato lao kupitia VAT katika bidhaa hii linavopanda! Hii ni danganyatoto!!!
 
Serikali imesema viwanda vya gesi ya kupikia havijafata utaratibu katika kupandisha bei hivyo bei mpya hazitambuliki.

Afisa wa Ewura mr Kaguo amesema viwanda vya gesi vimetakiwa vipeleke vigezo vya kupandisha bei na serikali ama itavibariki na kukubali bei mpya ama itavikataa kama havijitoshelezi.

Source: ITV habari
Serikali ya hovyo inajihoji,kupanda kwa bei serikali ndio hupandisha
 
Serikali imesema viwanda vya gesi ya kupikia havijafata utaratibu katika kupandisha bei hivyo bei mpya hazitambuliki.

Afisa wa Ewura mr Kaguo amesema viwanda vya gesi vimetakiwa vipeleke vigezo vya kupandisha bei na serikali ama itavibariki na kukubali bei mpya ama itavikataa kama havijitoshelezi.

Source: ITV habari
Yaani huku wanashangaa, na huku mkeka wa bei elekezi walitoa wao wenyewe...!!! AMA KWELI NDIDHI LIPABULIKII..!!! Dah..!!!
 
Hii ni sawa na Mtoto unadundwa alafu anakuja Baba yako naye anadundwa alafu anakwambia mkimbie.
 
Serikali imesema viwanda vya gesi ya kupikia havijafata utaratibu katika kupandisha bei hivyo bei mpya hazitambuliki.

Afisa wa Ewura mr Kaguo amesema viwanda vya gesi vimetakiwa vipeleke vigezo vya kupandisha bei na serikali ama itavibariki na kukubali bei mpya ama itavikataa kama havijitoshelezi.

Source: ITV habari

Futuhiii ndio ni FUTUHI.
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesitisha upandaji wa bei za gesi za kupikia zilizopanda maradufu katika baadhi ya maeneo nchini hadi hapo itakapotangazwa tena kutokana na upandaji wa bei hizo kutofuata taratibu.
 
bongo hatuhami ila chamtema kuni tutakiona .. ndo maana siku hizi posta nako mama ntilie wanapikia kuni kabisa.. maisha yamekua magumu sana lately, watu wanakula mihogo kama dozi ×3 kwa siku.
 
Back
Top Bottom