Serikali yashangaa gesi ya kupikia kupanda bei, yataka viwanda vieleze sababu ya ongezeko hilo

Wenyewe wanashangaa wameshika je madaraka?wanashangaa tozo kuwaumiza wanannchi,wanashangaa mafuta kupanda bei wanashangaa gesi kupanda bei kila kitu kushangaa hata katiba mpya watu wanapoidai bado wanashangaa kila kitu kushangaaa serikali ya kushangaa .Uwauliza swala la ajira kwa vijana watakwambi hata wao wanashangaa haya tuendelee kushangaaa
 
Lazima hata wewe umkumbuke magufuli
Yeye ndo chanzo cha yote kwa kuanzisha miradi kwa pupa Ili kupata sifa awakonge waliomtangulia bila kujali tunaoumia ni sisi,dabo tozo ni matokeo ya hazina kukauka Wawekezaji walikimbia sera firishiki sasa tajiri akiwa masikini kodi utapata wapi?.

Rais inafaa atoke familia ya matajiri au wafanyabiashara ndie anaweza kuwa na nyota ya pesa.

Wananchi wakiwa na pesa tele uwekezaji na manunuzi yataongezeka yakiongezeka, makusanyo ya kodi yataongezeka.
 
Haya yatafika mwisho siku tukiamua kutanguliza Nchi kwanza vyama baadae, Ila kwakua tumechagua vyama kwanza.... tuendelee hivi hivi, ni hakuna kupumua hadi siku ya kudanja
Watu wameongeza tozo kwenye mafuta halafu wanashangaa viwanda vya gesi kupandisha bei ya gas wakati wanajua fika viwanda vingine vinatumia nishati hii kufanikisha kupatikana kwa gas
 
Yeye ndo chanzo cha yote kwa kuanzisha miradi kwa pupa Ili kupata sifa awakonge waliomtangulia bila kujali tunaoumia ni sisi,dabo tozo ni matokeo ya hazina kukauka Wawekezaji walikimbia sera firishiki sasa tajiri akiwa masikini kodi utapata wapi?.
Rais inafaa atoke familia ya matajiri au wafanyabiashara ndie anaweza kuwa na nyota ya pesa.
Wananchi wakiwa na pesa tele uwekezaji na manunuzi yataongezeka yakiongezeka, makusanyo ya kodi yataongezeka.
Sasa hayo mafuta na Gas mbona havikupanda wakati wake?
 
Hata mafuta ya kupikia yalipopanda bei Serikali ilishangaa pia na mpaka leo hii hayajashuka bei. Wananchi goigoi huzalisha Serikali goigoi.

Imagine Serikali hii iliyokosa kibali cha wananchi iliingia madarakani kwa kupora uchaguzi huku wananchi waking'a ng'aa macho tu badala ya kuchukua hatua.

Matokeo yake imepatikana serikali goigoi ambayo tatizo linapotokea inatoa macho na haijui cha kufanya.Kikubwa ambacho huwa inaweza kufanya ni kudanganya wananchi hasa kupitia waziri mkuu.Wananchi wajiandae kulipa uzembe waliofanya.Period.
 
Bora umeliona hilo mkuu, yaani tunarudi kulekule kwenye kuteketeza misitu kwa kuendekeza haya mazwazwa yanayoshangaa shangaa tukija kukurupuka nchi haina mti hata mmoja.....
Wewe ungepewa ukurugenzi wilaya yako ingekua ya mfano wa kuigwa.
 
CHADEMA ndiyo tatizo kubwa ndo maana tozo zinaongezeka, mi nasema ziongeke tu ili chadema wakome
 
Serikali imesema viwanda vya gesi ya kupikia havijafata utaratibu katika kupandisha bei hivyo bei mpya hazitambuliki.

Afisa wa Ewura mr Kaguo amesema viwanda vya gesi vimetakiwa vipeleke vigezo vya kupandisha bei na serikali ama itavibariki na kukubali bei mpya ama itavikataa kama havijitoshelezi.

Natumai inteligensia imefanya kazi. Au huku haipo Bwashee?
 
Hivi ile kamati ya soko la kariakoo iliyoongezewa siku 7 ishamaliza shuuli?
 
Back
Top Bottom