iwe imezua kupandishwa kwa bei ya jumla? ila kama inazuia bei ya rejareja,wataishia kama ilivyokuwa kwenye sukari.itaadimishwaMamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesitisha upandaji wa bei za gesi za kupikia zilizopanda maradufu katika baadhi ya maeneo nchini hadi hapo itakapotangazwa tena kutokana na upandaji wa bei hizo kutofuata taratibu.