Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao Ewura watakuwa na utapiamlo wa akili.Mkuu hapo hakuna kitachobadilika, hao wenye viwanda watatoa pesa na mambo yataendelea
Wanasema kuwa kuke kanda ya ziwa kuna uwezekano wa kutumia kinyesi cha ng'ombe. Na bei za nyasi porini hazijapanda.Mbona Maisha ya mtu wa chini yanazidi kua magumu awamu hii ya sita?
Mara tozo
Mara Bei ya mafuta na Sasa hii bbei ya gesi.
Hivi viongozi wa hii serikali hawajui kwamba Bei ya gesi ikipanda misitu itazidi kuteketea.
Jumong anafungua nchiInahitaji tone Moja tu la akili kutambua sababu za kupanda bei ya bidhaa. Tozo za kijinga Kila mahali zinapunguza mzunguko wa pesa. Kwa bahati mbaya tuliopo kitaa tuna mawazo mazuri ya maendeleo lakini walio na wadhifa na nafasi ya maamuzi, hawawazi lolote zaidi ya kulinda nafasi zao watawale milele
ELEZENI TOZO ZA SIMU KWANZA ZINAUHALALI GANI ,KABLA YA KUGEUKIA GESISerikali imesema viwanda vya gesi ya kupikia havijafata utaratibu katika kupandisha bei hivyo bei mpya hazitambuliki.
Afisa wa Ewura mr Kaguo amesema viwanda vya gesi vimetakiwa vipeleke vigezo vya kupandisha bei na serikali ama itavibariki na kukubali bei mpya ama itavikataa kama havijitoshelezi.