KIPANYA BABA
Nimecheka kweli, na huu ndio ukweli wenyewe,hii ndio inabidi iwe heading ya Mwananchi kesho
OK, Kipanya zamu yako nayo ya kufungiwa imefika manake hii itakuwa ni mojawapo ya katuni maarufu kipindi hiki cha uchaguzi.let wait sijui kado naye atakujaje
Kwanza michuzi ataiweka?
masoud wewe ni mwanaharakati wa kweli na hili lipo wazi kupitia kazi zko,i wish hizi kazi ziwe katika mfumo wa maongezi na zirushwe na tv huru,kip it up,bravooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.