Serikali yasema itagharamia mazishi na haitokabidhi fedha kwa familia

1. Magari yote yatatumiaka ya serikali na mafuta ya serikali.
2. Chakula chote kitatoka serikalini ( mchele kutoka hifadhi ya chakula, nyama kutoka ranchi za taifa, maharagwe hifadhi ya chakula ya taifa)
3. Jeneza kutoka karakana za magereza ( THey make best quality ).
4. MC na PA system tutatumia za wizara yoyote ( we have best PA systems, tunaweza azima hata TOT, we have good MC's for free).
5. Shughuli za kuchimba kaburi tutaweka vijana wa JKT na watakuja na vifaa vyote.

1. Posho ya viongozi wa seikali watakaoshiriki na kusafiri kwenda moshi msibani milioni arobaini,
2. chakula na vinywaji kwa viongozi wa serikali milioni 30,
3. posho za madereva wa serikali wakati wa shughuli nzima milioni 20.
Mbona posho za viongozi ni zaidi ya bajeti ya warombo ? Walikataa nini kumbe nao wanapiga ?
 
1. Magari yote yatatumiaka ya serikali na mafuta ya serikali.
2. Chakula chote kitatoka serikalini ( mchele kutoka hifadhi ya chakula, nyama kutoka ranchi za taifa, maharagwe hifadhi ya chakula ya taifa)
3. Jeneza kutoka karakana za magereza ( THey make best quality ).
4. MC na PA system tutatumia za wizara yoyote ( we have best PA systems, tunaweza azima hata TOT, we have good MC's for free).
5. Shughuli za kuchimba kaburi tutaweka vijana wa JKT na watakuja na vifaa vyote.

1. Posho ya viongozi wa seikali watakaoshiriki na kusafiri kwenda moshi msibani milioni arobaini,
2. chakula na vinywaji kwa viongozi wa serikali milioni 30,
3. posho za madereva wa serikali wakati wa shughuli nzima milioni 20.
Duh..!!
Mkuu hii bajeti mbona umeipanglia hvyo lkn ukavuka kiwango cha bajeti yenyewe..????
 
Sijaelewa kwa hiyo kila muwamba ngozi avutia kwake au? Kweli karibuni Tz muone jinsi watu wanavyoishi kwa maajabu
 
kwa bajeti hiyo ni zaidi ya hiyo iliyotolewa nafamilia,vinginevyo mawazo ya aliyetoa hiyo bajeti anadhani kutoka serikalini ni sawanakupata pesa ya bingo yaani unatoa sh.500 alafu unapata milioni 100. ujinga mtupu
 
1. Magari yote yatatumiaka ya serikali na mafuta ya serikali.
2. Chakula chote kitatoka serikalini ( mchele kutoka hifadhi ya chakula, nyama kutoka ranchi za taifa, maharagwe hifadhi ya chakula ya taifa)
3. Jeneza kutoka karakana za magereza ( THey make best quality ).
4. MC na PA system tutatumia za wizara yoyote ( we have best PA systems, tunaweza azima hata TOT, we have good MC's for free).
5. Shughuli za kuchimba kaburi tutaweka vijana wa JKT na watakuja na vifaa vyote.

1. Posho ya viongozi wa seikali watakaoshiriki na kusafiri kwenda moshi msibani milioni arobaini,
2. chakula na vinywaji kwa viongozi wa serikali milioni 30,
3. posho za madereva wa serikali wakati wa shughuli nzima milioni 20.
Umeenda vizuri ila hapo mwisho ndio umeharibu.
Tikitaka.....

Uhai wa mtu hauwezi kulipika abadani.
 
KITU KINACHOSIMAMIWA NA SERIKALI HAKIWEZ KUWA BORA HATA SKU MOJA, KWANIN SERIKALI INAINGILIA MAMBO BNAFSI YA FAMILIA? HYO HELA WATU WANATAKA KUPGA DILI WASHAIMEZEA MATE.
 
1. Magari yote yatatumiaka ya serikali na mafuta ya serikali.
2. Chakula chote kitatoka serikalini ( mchele kutoka hifadhi ya chakula, nyama kutoka ranchi za taifa, maharagwe hifadhi ya chakula ya taifa)
3. Jeneza kutoka karakana za magereza ( THey make best quality ).
4. MC na PA system tutatumia za wizara yoyote ( we have best PA systems, tunaweza azima hata TOT, we have good MC's for free).
5. Shughuli za kuchimba kaburi tutaweka vijana wa JKT na watakuja na vifaa vyote.

1. Posho ya viongozi wa seikali watakaoshiriki na kusafiri kwenda moshi msibani milioni arobaini,
2. chakula na vinywaji kwa viongozi wa serikali milioni 30,
3. posho za madereva wa serikali wakati wa shughuli nzima milioni 20.
Gharama za watu wangapi watakaokwenda msibani kutoka srikalini hadi yafikie hapo?Weka takwimu vinginevyo huo ni uongo
 
Mshika mawili moja humponyoka
Familia watalia mara mbili kwani mil80 atafaida alikwenda msibani kula ubwabwa na aliyebaki Daresalama akipunga upepo
Wameyataka wenyewe.... Tamaaa imewaponza
Na movie imeishia hapo hakuna fidia wala faida ni machozi tu wameambulia

kuna post yangu moja nlisema kuwa hawatakitana na pesa ila na service, walichokosa ni ushauri tu, yaan wangeiambia serikali kuwa sisi hatuna bajet, ninyi fanyeni vyote, hitaji letu ni kumaliza msiba....

serikal ingepata shida, na huo mtego ndo umewaingiza chaka familia..
 
Back
Top Bottom