Serikali yasema imewapa muda TUCTA wakajadiliane kuhusu mishahara mipya, na TUCTA wasema wameipa muda serikali

Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa amesema wameipa TUCTA muda wakajadiliane kuhusu mishahara mipya kisha walete mapendekezo yao serikalini.

Naye Rais wa TUCTA Tumaini Nyamhokya amesema TUCTA wameipa muda Serikali ikaje na ufafanuzi juu mishahara kuwa pungufu ya Kima kilichoahidiwa.

Rais Nyamhokya amesema TUCTA ilitegemea ongezeko la 23.3% lingekwenda kwa bima vyote vya mishahara kama ilivyozoeleka katika miaka iliyopita.

Source ITV habari
Marehem hasemwi vibaya kwenye mimbari same walivyo mnanga ndivyo watakavyo nagwa
 
Hawa tucta wapumbavu.
Mbona kipindi cha Jiwe hawakuweza kuipa muda serikali ijieleze
Serekali na tucta ni wamoja, maigizo upepo upite maisha yaendelee,

TUCTA mwanzo ilikuwa JUWATA moja ya tasisi za CCM, pamoja na UWT, Jumuiya ya Wazazi, na Jumuiya ya Vijana,

Huyu Mwenyekiti wa Tucta ni mtoto wa Peter Nyamohokya ambaye alikuwa Mwenyekiti wa OTTU kabla ya kuitwa Tucta,
 
Serekali na tucta ni wamoja, maigizo upepo upite maisha yaendelee,

TUCTA mwanzo ilikuwa JUWATA moja ya tasisi za CCM, pamoja na UWT, Jumuiya ya Wazazi, na Jumuiya ya Vijana,

Huyu Mwenyekiti wa Tucta ni mtoto wa Peter Nyamohokya ambaye alikuwa Mwenyekiti wa OTTU kabla ya kuitwa Tucta,
kwa hiyo wanawatengeneza sio
 
Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa amesema wameipa TUCTA muda wakajadiliane kuhusu mishahara mipya kisha walete mapendekezo yao serikalini.

Naye Rais wa TUCTA Tumaini Nyamhokya amesema TUCTA wameipa muda Serikali ikaje na ufafanuzi juu mishahara kuwa pungufu ya Kima kilichoahidiwa.

Rais Nyamhokya amesema TUCTA ilitegemea ongezeko la 23.3% lingekwenda kwa bima vyote vya mishahara kama ilivyozoeleka katika miaka iliyopita.

Source ITV habari
Serikali haina Pesa ina Matumizi Makubwa kuliko Mapato
km Pesa zinazotumika kuwalipa kina HALIMA na Genge lake ni Matumizi mabaya ya KODI za Wananchi hawana Sifa ya kuwa Wabunge Fedha hizo zingekwenda kwenye NYONGEZA ya Mishahara
 
Ila Msigwa anatupanga sana. Ndugu yetu credibility yake inashuka kwa Kasi ya ajabu.
 
Serekali na tucta ni wamoja, maigizo upepo upite maisha yaendelee,

TUCTA mwanzo ilikuwa JUWATA moja ya tasisi za CCM, pamoja na UWT, Jumuiya ya Wazazi, na Jumuiya ya Vijana,

Huyu Mwenyekiti wa Tucta ni mtoto wa Peter Nyamohokya ambaye alikuwa Mwenyekiti wa OTTU kabla ya kuitwa Tucta,
Kumbe
 
Serikali haina Pesa ina Matumizi Makubwa kuliko Mapato
km Pesa zinazotumika kuwalipa kina HALIMA na Genge lake ni Matumizi mabaya ya KODI za Wananchi hawana Sifa ya kuwa Wabunge Fedha hizo zingekwenda kwenye NYONGEZA ya Mishahara

Ungesema hivi: fedha zote wanazolipwa wabunge kwa ujumla wao ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi. Kuwepo au kutokuwepo kwa Bunge hakuna tofauti. Hawa ni kupe wasiokuwa na manufaa yoyote kwa taifa letu!
 
Back
Top Bottom