jambotemuv
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 224
- 62
Susuviri, Heshima yako mkuu;
But in one note; we have to not that there is no freedom without a limit. Suala la utoaji mimba ni nyeti katika mila za kitanzania na kiafrika kwa ujumla. Si kila kitu kinachotoka Ulimwengu 'ulioendelea' ni kizuri. Kuhusu uhuru wa wamama wamepewa na ile sheria ya kujaamiana. Sasa na hili la utoaji wa mimba kumbuka it takes two to tangle. Sasa na haki ya mwanaume katika kiumbe hicho itawekwa wapi? Je haki ya huyo mtoto as a human being italindwa vipi?
Umaskini tabu sana, unakuta nchi imeadiwa pesa na wafadhiri kuridhia maazimio kama haya ya ajabu ajabu.
Shadow.
Shadow asante. Njaa ndo imemfanya hata waziri akawa anasema wameridhia tu mkataba lakini haijatungwa sheria. Mikataba mingi tunaridhia kinyume na dhamira zetu kwa maslahi yasiyo wazi na hili ni mojawapo. Ndio nikasema ukoloni mamboleo sikueleweka. Basi tuyaite utumwa mamboleo Ingekuwa kuua ni jibu zamani vilema wengi waliuawa wachanga. Je ni vilema wangapi tena waliotoka familia fukara kupindukia tunawaona leo wakihudumia jamii kwa mengi?