Serikali ya Tanzania yaridhia utoaji mimba

Naomba mtu anipe athari za kutoa mimba kama itafanyika kwa ufanisi,naona watu wote mumejikita katika kuua tu,watu wangapi wamekufa bwana,tatizo letu ni kuwa dini zetu zimetujengea mazingira ya kuogopa sana kufa,hivyo watu wengi tunaona kufa ni big deal,kufa is just like sleeping guys,sasa nini bora,kumleta mtoto duniani akateseka au kumuondoa kabla hajaja duniani? Tusiongopeane kwamba kila mtoto anakuja na risiki yake hapa,kama mzazi anaona yeye hana uwezo wa kumjengea mazingira ya kutoka mtoto wake,ni heri akamuepusha na mabalaa mapemaaa,kuna watoto wanazaliwa hawana macho au miguu,jamani unamuacha duniani anateseka bureeee,
 
Nafikiri hata ndani ya JF kuna watu ambao ilitakiwa wawe wameuawa kwa njia ya mama zao kutolewa mimba.
Nafikiri mjadala utakuwa mzuri kama tutakuwa na upande wa wale waliotakiwa kuuawa kwa mama zao kutolewa mimba lakini wapo wanaishi.
UHALALI WA UTOAJI MIMBA UTAANZIA KWA WALE WOTE WANAOMANI KWAMBA NI HALALI KUTOA MIMBA ETI TU KWA VILE HAIKUTARAJIWA WAKAWAULIZE WAZAZI WAO KAMA WAO WALIKUWA MIMBA ILIYO TARAJIWA.
ni hakika binadamu wengi tu ni matokeo ya starehe ya wazazi na si kwa mjadala wa wazazi kuwazaa, hebu jichunguze hata kwenye family yako jinsi mlivyopishana umri bila pattern y akueleweka sababu ya hicho mnachokiita bahati mbaya.
HATA MTIA SAHIHI ALITAKIWA AJIULIZE HAYA MASWALI KAMA KWELI YEYE ALIKUWA MIMBA ILIYOTARAJIWA NA WAZAZI WAKE.
NI MWELEKEO MBAYA KAMA KWELI KUNA MTU AMEFIKIA KUTIA SAINI YAKE ILI UTOAJI MIMBA UWE HALALI.
TUTAPOTEZA MAGENIUS NA WATU WENYE MAONO KWA KUFUATA UPUMBAVU...
 
Inamaana ukitia mimba hukamatwi wala huna kesi ,serikali imeruhusu utoaji ,sasa madada hawana wasiwasi tena ,mambo mshale ,ile rushrusha ya madada kusema naogopa mimba itakuwa imepigwa kufuli , ama kweli serikali ya CCM imemaliza sera waondoe na kosa la kutia mimba ili wamalizie kupata kura zilizobaki.
 
Naomba mtu anipe athari za kutoa mimba kama itafanyika kwa ufanisi,naona watu wote mumejikita katika kuua tu,watu wangapi wamekufa bwana,tatizo letu ni kuwa dini zetu zimetujengea mazingira ya kuogopa sana kufa,hivyo watu wengi tunaona kufa ni big deal,kufa is just like sleeping guys,sasa nini bora,kumleta mtoto duniani akateseka au kumuondoa kabla hajaja duniani? Tusiongopeane kwamba kila mtoto anakuja na risiki yake hapa,kama mzazi anaona yeye hana uwezo wa kumjengea mazingira ya kutoka mtoto wake,ni heri akamuepusha na mabalaa mapemaaa,kuna watoto wanazaliwa hawana macho au miguu,jamani unamuacha duniani anateseka bureeee,

Sasa si bora wakaondolewa makorodani na akina dada wanaotaka kutoa wakaondolewa uzazi wa mfuko.Kuliko kuuwa.
 
Tunachozungumzia ni mimba zisizo tarajiwa.kuna kipindi kinafika njia nyingine za uzazi wa mpango zinagoma au mambo ya kuzidiwa nguvu,hivyo hatua hiyo ikifikia kutoa mimba ni mwake,kumbuka kuwa hakuna mwanamke mwenye akili timamu akapenda kutoa mimba,hii ni kwa ajili ya afya zao,hivyo waruhusiwe pale inapobidi,hakuna longolongo
 
I just can't go silent on this. Technically abortion is inducing a hastened end of life to a foetus. Many are yet to appreciate and respect the sacred nature of life. Proponents of abortion wherever they may be are either doing so out of ignorance or are practicing selfishnes at its highest degree. Abortion is imoral and period.
An abortion procedure, if performed in such a manner as to assure safety of the mother's health is very expensive in many aspects. If the mother or her sponsors can aford these, surely they could aford raising child. When faithful mothers are dying with their babies for lack of medical attention, we still can aford commiting the scarce resources to killing our unborn children? Just because they can't cry loud enough for our ears? Something is terribly wrong.

Surely there are unwanted pregnacies, as there has always been, and ever will be come legal abortion or no legal abortion. We had better dirrect efforts to prevention of unwanted pregnancies ruther than abortion because it's not even sustainable.
Think about it. So many ilegal Abortion in Tz though it is still ilegal. How many do you expect when it is legal? Let's not pick up any junck they promote just because they promise international monetary support. DO WE KNOW WELL ALL THE COLOURS OF 'UKOLONI MAMBOLEO?' Hayo mashirika yenye huruma kiasi hicho kwa wamama ndo yafaidikayo kwa ghara za madawa na ndo haohao wasotoa msaada hata wa dawa za malaria ili watoto na wamama wasife hovyo. Haki ya mama na afya yake iko kwenye kutoa mimba tu? Hana haki ya kusaidiwa ajifungue salama na kuelimishwa asirudie kosa?
 
english please!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Lofl!!!

Ukisikia ukoloni ndio huu,maada ya kiswahili unaleta kingereza ili iwaje,na sisi tukileta kichina,na yule wa poland akileta kipolish tutafika,hii ndio kuwa brain washed na hatutoendelea kama hatutojua wapi tunatakiwa kutumia kingereza na wapi tunatakiwa kutumia lugha yetu ya taifa.
Wadhungu kweli wametupata waafrica.
 
Inamaana ukitia mimba hukamatwi wala huna kesi ,serikali imeruhusu utoaji ,sasa madada hawana wasiwasi tena ,mambo mshale ,ile rushrusha ya madada kusema naogopa mimba itakuwa imepigwa kufuli , ama kweli serikali ya CCM imemaliza sera waondoe na kosa la kutia mimba ili wamalizie kupata kura zilizobaki.


Hahaha mwiba hapo najua moja kwa moja umemfikiria yule '15yrs old' LOL
 
Unapozungumzia mtoto ina maana ni stages ambazo ni Sperms->Pregnancy->Kiumbe na unapozungumzia njia za kupanga na uzazi unazungumzia Condoms,Abortion nk.
Pia unapozungumzia kuua ina maana ni kitendo cha kuondoa uhai wa binadamu,je binadamu ni nani? Sasa mtu anayetumia condom naye anaondoa uhai wa binadamu kwani kuna pisibility yale manii yangeleta mtoto,unaweza kusema kuwa si kila manii huleta mtoto pia kumbuka si kila mimba hutoa mtoto. Mkubwa liangalie hili kwa maono yako kama wewe,usiingize midini hapo.Kwani hizo si tamaduni zako,nakumbuka Niliwahi kuongea na bibi yangu akaniambia kuwa wao zamani walikuwa wanakunywa majani ili kutoa mimba,sasa ikaja midini na kuwaingilia mababu zetu.Hivyo basi hii kutoa mimba ilikuwa kwenye mila zetu.
Wakubwa,kuna mtu yeyote anayeweza kunieleza athari za utoaji mimba kama ukifanyika kwa ufanisi? Huku china unapanga foleni kwenda kutoa mimba,hospitali zinajitangaza kwa kutoa mimba,kitu gani bwana.

cretin
 
next ni ndoa za mashoga kwa sababu tayari mashoga wapo na wamekuwepo kwa muda mrefu na siku hizi ni kama kafasheni ka aina fulani hivi. Hata kama haitakuwa ndoa nadhani watakachofanya chini ya utawala wa Obama ni kuhakikisha kuwa homosexuality is decriminalized.

Hili litafanya hatimaye mashoga kujitokeza wazi badala ya kujificha au vitendo vyao kuonekana "nje ya maadili ya Kitanzania".
 
Naomba mtu anipe athari za kutoa mimba kama itafanyika kwa ufanisi,naona watu wote mumejikita katika kuua tu,watu wangapi wamekufa bwana,tatizo letu ni kuwa dini zetu zimetujengea mazingira ya kuogopa sana kufa,hivyo watu wengi tunaona kufa ni big deal,kufa is just like sleeping guys,sasa nini bora,kumleta mtoto duniani akateseka au kumuondoa kabla hajaja duniani? Tusiongopeane kwamba kila mtoto anakuja na risiki yake hapa,kama mzazi anaona yeye hana uwezo wa kumjengea mazingira ya kutoka mtoto wake,ni heri akamuepusha na mabalaa mapemaaa,kuna watoto wanazaliwa hawana macho au miguu,jamani unamuacha duniani anateseka bureeee,

Aaah aaah!! wataalam wa kutoa mimba utawajua tu kwa kauli zao. Ni akina dada wangapi hapa tanzania huwa wanatoa mimba kwa kutumia vigezo ulivyotaja hapo juu? Hiyo scanning huwa wanaifanyia wapi huku bariadi/meatu? Usitake kutufanya wana JF mbumbumbu/taahira.
 
Kutoa mimba sio mahadiri ya kitanzania lakini tukubali kuwa mimba tanzania zinatolewa kila siku, mbona amsemi kuhusu zahanati ambazo ni kazi zao rasmi na zinajulkana kwa wananchi wote kuwa hizo zahanati kazi yake ndio hiyo.

Je kusema kuwa imeridhia protocal ya haki za wanawake ndio maana kuwa kutoa mimba kumeruhusiwa? tunahitaji kuongoza majadiliano yenye kuleta tija badala ya kuipaka serikali uchafu wa kila aina.
 
Naomba mtu anipe athari za kutoa mimba kama itafanyika kwa ufanisi,naona watu wote mumejikita katika kuua tu,watu wangapi wamekufa bwana,tatizo letu ni kuwa dini zetu zimetujengea mazingira ya kuogopa sana kufa,hivyo watu wengi tunaona kufa ni big deal,kufa is just like sleeping guys,sasa nini bora,kumleta mtoto duniani akateseka au kumuondoa kabla hajaja duniani? Tusiongopeane kwamba kila mtoto anakuja na risiki yake hapa,kama mzazi anaona yeye hana uwezo wa kumjengea mazingira ya kutoka mtoto wake,ni heri akamuepusha na mabalaa mapemaaa,kuna watoto wanazaliwa hawana macho au miguu,jamani unamuacha duniani anateseka bureeee,

huyu yuko upande wa serikali-mkristo huyu! mwislamu huyu!

next ni ndoa za mashoga kwa sababu tayari mashoga wapo na wamekuwepo kwa muda mrefu na siku hizi ni kama kafasheni ka aina fulani hivi. Hata kama haitakuwa ndoa nadhani watakachofanya chini ya utawala wa Obama ni kuhakikisha kuwa homosexuality is decriminalized.

Hili litafanya hatimaye mashoga kujitokeza wazi badala ya kujificha au vitendo vyao kuonekana "nje ya maadili ya Kitanzania".

Anaangalia mbali, siku zote huwa tunaonywa na watu mbalimbali hatuchukui hatua, hatujali!

kweli tumeangamia!

analalamika na kukubali kama kawaida yetu!


Hi there

Tatizo letu wa TZ, ni kusubiri matokeo ya mambo halafu ndio tulalamike.

Kila siku huwa najiuliza kama kuna wakristo wa kweli na waislamu wa kweli, siku zote nimeishia kwenye hitimisho kuwa wengi wafuatao dini ni WANAFIKI WAKUBWA, wala hawastahili kuitwa kwa dini zao-Bible inasema tuna majina yaliyo hai lakini tumekufa!

Viongozi wa dini


Katika hili mkae kimya kabisa, mnapohukumu au kuikosoa serikali ina other words mnajisema wenyewe!

Hakuna asiyejua kuwa dini zetu siku hizi zimekuwa zikilinda waovu na ni vitovu vya uovu.

1. Mafisadi wako makanisani na misikitini na wanafahamika kwa majina yao,
2. wanaovaa nguo fupi za ajabu ajabu wako makanisani mwetu.
3. wachungaji wengi siku hizi wamehalalisha kufungisha ndoa za watu waliokwisha peana mimba, as if inaruhusiwa!
4. makanisa na misikiti hayajali watoto wa mitaani(wachache tu wanafanya hivi)

hakuna lolote hapo juu linaruhusiwa kibiblia......., tunaposema serikali inaruhusu utoaji wa mimba tunazungumzia watu, waliosaini ni watu walio misikitini na makanisani mwetu, in other words makanisa na misikiti bado havijawaconvince watu!

Tunachagua kipi kibaya na kipi kizuri, dhambi ipi kubwa na ipi ndogo! ili hali kila mmoja anastandard yake ya dhambi! though that we have standards( holy books) and that should be applicable anywhere,everywhere, anyhow, anycondition, to everyone! regardless of his or her status! do not compromise you know WHY!

Ikifika wakati kila mmoja akawa na standard yake, basi mwingine anaona kuiba kuku ni dhambi wakati mwingine anaona kutoa roho si dhambi ni kitu kidogo. Kuna uchafu mwingi unafanyika kwenye hizi religious group that they do not deserve anymore to be called so, other than social clubs etc.

inapofikia hapa ndio utawaona watu wanaojiita wakristo na waislamu, haya sasa Huxiang anasupport kwake sawa! sio mpagani huyu I guess!

MKJJ naona mbali(salute you, anatoa onyo) vingi vinakuja na watu watafurahi tu

Kama kawaida yetu kama alivyotuonyesha carter hapo juu, tutalalamika no action at all like all other days! YES, these are not new in TZ, people are eagerly waiting all these dirties.

Still more to come!

Mungu tusaidie, tusamehe, tupe nguvu ya kusimama katika kweli katika kila kitu.
 
Utoaji wa mimba kwa kigezo chochote ni aibu kubwa,,,,hata kama kichaa ndio kabaka,lakini mtoto alieko tumboni bado ana haki zote za kuishi,labda penye kulazimika kuokoa uhai wa mama au mtoto.Wote wanaokubali utoaji wa mimba ni wavivu wa kufikiri na kushabikia mambo yasiyo na msingi,,,,,,,,,,,,,
 
Hahaha mwiba hapo najua moja kwa moja umemfikiria yule '15yrs old' LOL
Yule sitii mimba ili kulazimisha ndoa bali pale naowa kabisa aisee 15yrs old ,na tayari wameshanikubalia imebaki serikali tu ndio imeweka mguu ,ila wazee wenye busara wameniambia kuwa nisiwe na wasiwasi wataacha kumlipia ada ya shule na baada ya miezi mitatu anafukuzwa ,na mtoto wenyewe wala hana nia ya kusoma siku hizi nasikia amezidisha utoro. Labda serikali ya CCM iamue kumlipia la kama si hivyo sheria zao hazitaniona ,wakimfukuza shulu tu ,naibuka kama jua la alfajiri. Ndio maana yake wao waibe kitita cha mafedha kutudhulumu walala hoi na bado wanatuona tinafaidi kukubaliwa ,waanzishe kusoma bila ya malipo basi kama wana uchungu.

Ndio maana yake ,hivi kule kuwafukuza chuo kikuu na seemu nyingine,si wamewakatisha masomo au sio,Nchi hii sheria zipo lakini haiongozwi wala haifuati sheria , sema imakaa kinguvunguvu tu ,na kibabe ,sheria utaziona kwa sisi wanyonge ,tukiiba kuku au mbuzi Hakimu anajitapa eti ametoa fundisho kwa wengine ,mbona hao mafisadi wanaburuzana nao hatuoni hilo fundisho ? Kama si oenevu ni kitu gani ? Sheria hizi ni kwa nani kama si kwa masikini na watoto wake ?
 
Back
Top Bottom