Wakati wa kipindi cha uongozi wa Mh. Mkapa sekta ya umma ili undergo mabadiliko makubwa. Makapa alianzisha programu maalumu aliyoiita Public Service Reform Programme. Programme hii ilikuwa na mambo mengi mazuri ambayo yalilenga kutransform utumishi wa umma kuwa more effective na efficient. Baadhi ya mambo yaliyoanzishwa kwa kipindi hiki ni kamaifuatavyo;
1. Kuanzisha mpango wa ku-outsource baadhi ya huduma zisizo za msingi (Outsourcing of non-core activities). Katika mpango huu shughuli za ulinzi na usafi zikaanza kuwa outsourced. Zamani mawizara yalikuwa na walinzi walioajiriwa na wafanya usafi. Hali ya usalama na usafi katika mawizara ilikuwa inatisha. Kuoutsorce shughuli hizi kulilenga kuboresha huduma za usafi na ulinzi na pia kupunguzia watendaji jukumu la kusimamia moja kwa moja HR wanaohusika na kazi hizo. Ulinzi na Usafi ilikuwa ni kwa kuanzia. Ila shughuli nyingi zaidi zilitegemewa kuwa outsorced kulingana na mahitaji na mafaniko. Hata hivyo baada ya mkapa kumaliza kipindi chake hakuna tena kilichoendelea kuhusiana na hilo swala na hali imebaki palepale mkapa alipopacha.
2.Eneo la pili ambalo lililengwa ni kuondoa urasimu na ukiritimba wa shughuli za usimamizi wa sheria mbalimbali na utoaji lesenina vibali mbalimbali. kabla ya hapo shughuli zote hizo zilikuwa zinafanywa na idara mbalimbali za Wizara husika. Likaja wazo la kuunda vyombo ambavyo ni semi-autonomous, ambavyo vitafanya shughuli hizi. Hasa ukizingatia uchumi ulikuwa unakua kwa haraka na mazingira ya biashara yalihitaji kuboreshwa. Hapo ndo vyombo kama TRA, TCRA, EWURA, SUMATRA, TEMESA n.k vilianzishwa. uanzishwaji wa wakala na mamlaka mbambali mbali ulitakiwa uende sambamba na upunguzwaji wa Idadi ya Wizara. Kwa kuwa kazi hizi za usimamizi wa sheria zilikuwa zinahamishwa kutoka katika wizara kwenda ama kwa mamlaka au wakala, wizara zisingeendelea kuwa kama zilivyo. Baadhi ya watumishi walihamishiwa kwenye taasisi hizo mpya na vile vile wizara zilitakiwa kupungua hadi kubaki 15 tu. Baada ya Mkapa kuondoka JK siyo tu akaongeza idadi ya Wizara lakini hata ukubwa wa mawizara ukaongezeka. Wakaanzisha kurugenzi mpya na wakurugenzi wasaidizi kibao ambao hata kazi hawana, wanaishia kusoma magazeti tu. Kitu kingine ambacho hakikwenda sawa ni katika kuangalia vyanzo vya mapato vya hizo taasisi mpya. Ila tukubali tu zimesaidia katika kuratibu na kusimamia biashara mbalimbali, kuweka uwanja sawa wa biashara n.k.
3. Eneo lingine ambal mkapa alilifanyia marekebishao ni upelekaji wa madara Wilayani. Hata hivyo aliacha kazi hii iko nusu na Hadi leo haikuendelea tena. Bado serikali kuu imeng'ang'ania madaraka kibao. Huwenda kama hili lingefanikiwa, hata CHADEMA wasingekuwa na haja ya kuwa na sera ya majimbo. Maana wilaya zingekuwa na uhuru wa kukusanya mapato mengi na kutumia katika miradi ya maendeleo mbalimbali.
Hiyo ndo historia ya hivi vyombo kwa ufupi. Kutokana na kutokuwa na vision, utawala wa sasa haufanyi au kuendeleza mabadilko ya msingi ya uchumi unaokua.
1. Kuanzisha mpango wa ku-outsource baadhi ya huduma zisizo za msingi (Outsourcing of non-core activities). Katika mpango huu shughuli za ulinzi na usafi zikaanza kuwa outsourced. Zamani mawizara yalikuwa na walinzi walioajiriwa na wafanya usafi. Hali ya usalama na usafi katika mawizara ilikuwa inatisha. Kuoutsorce shughuli hizi kulilenga kuboresha huduma za usafi na ulinzi na pia kupunguzia watendaji jukumu la kusimamia moja kwa moja HR wanaohusika na kazi hizo. Ulinzi na Usafi ilikuwa ni kwa kuanzia. Ila shughuli nyingi zaidi zilitegemewa kuwa outsorced kulingana na mahitaji na mafaniko. Hata hivyo baada ya mkapa kumaliza kipindi chake hakuna tena kilichoendelea kuhusiana na hilo swala na hali imebaki palepale mkapa alipopacha.
2.Eneo la pili ambalo lililengwa ni kuondoa urasimu na ukiritimba wa shughuli za usimamizi wa sheria mbalimbali na utoaji lesenina vibali mbalimbali. kabla ya hapo shughuli zote hizo zilikuwa zinafanywa na idara mbalimbali za Wizara husika. Likaja wazo la kuunda vyombo ambavyo ni semi-autonomous, ambavyo vitafanya shughuli hizi. Hasa ukizingatia uchumi ulikuwa unakua kwa haraka na mazingira ya biashara yalihitaji kuboreshwa. Hapo ndo vyombo kama TRA, TCRA, EWURA, SUMATRA, TEMESA n.k vilianzishwa. uanzishwaji wa wakala na mamlaka mbambali mbali ulitakiwa uende sambamba na upunguzwaji wa Idadi ya Wizara. Kwa kuwa kazi hizi za usimamizi wa sheria zilikuwa zinahamishwa kutoka katika wizara kwenda ama kwa mamlaka au wakala, wizara zisingeendelea kuwa kama zilivyo. Baadhi ya watumishi walihamishiwa kwenye taasisi hizo mpya na vile vile wizara zilitakiwa kupungua hadi kubaki 15 tu. Baada ya Mkapa kuondoka JK siyo tu akaongeza idadi ya Wizara lakini hata ukubwa wa mawizara ukaongezeka. Wakaanzisha kurugenzi mpya na wakurugenzi wasaidizi kibao ambao hata kazi hawana, wanaishia kusoma magazeti tu. Kitu kingine ambacho hakikwenda sawa ni katika kuangalia vyanzo vya mapato vya hizo taasisi mpya. Ila tukubali tu zimesaidia katika kuratibu na kusimamia biashara mbalimbali, kuweka uwanja sawa wa biashara n.k.
3. Eneo lingine ambal mkapa alilifanyia marekebishao ni upelekaji wa madara Wilayani. Hata hivyo aliacha kazi hii iko nusu na Hadi leo haikuendelea tena. Bado serikali kuu imeng'ang'ania madaraka kibao. Huwenda kama hili lingefanikiwa, hata CHADEMA wasingekuwa na haja ya kuwa na sera ya majimbo. Maana wilaya zingekuwa na uhuru wa kukusanya mapato mengi na kutumia katika miradi ya maendeleo mbalimbali.
Hiyo ndo historia ya hivi vyombo kwa ufupi. Kutokana na kutokuwa na vision, utawala wa sasa haufanyi au kuendeleza mabadilko ya msingi ya uchumi unaokua.