Democrasia
Member
- Feb 1, 2008
- 79
- 3
Wakuu poleni na kazi, kuna habari ambazo naamini kuwa ni rasmi ni kuwa uwanja wa ndege wa KIA umerudi serekalini.
Hii nadhani ni baada ya watu kushikilia bangu kodi kidunchu iliyokuwa ikilipwa serekalini yaani US$ 1,000 KWA MWAKA wakati income per day was is around TSH 20,000,000
Hii nadhani ni baada ya watu kushikilia bangu kodi kidunchu iliyokuwa ikilipwa serekalini yaani US$ 1,000 KWA MWAKA wakati income per day was is around TSH 20,000,000