Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Serikali imepokea mabehewa ya kisasa 50 ya mizigo na 22 ya abiria.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo,mabehewa hayo yatatumika kwa safari za Mwanza na kigoma na kwamba hakutakuwa na abiria kusimama ndani ya behewa.
CHANZO:ITV
Ni hatua nzuri na ya kupongeza lakini uchunguzi wa mchakato mzima ni vizuri ukafanywa maana huenda mafisadi wamejichotea kama kawaida yao.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo,mabehewa hayo yatatumika kwa safari za Mwanza na kigoma na kwamba hakutakuwa na abiria kusimama ndani ya behewa.
CHANZO:ITV
Ni hatua nzuri na ya kupongeza lakini uchunguzi wa mchakato mzima ni vizuri ukafanywa maana huenda mafisadi wamejichotea kama kawaida yao.