Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,214
- 113,526
Rejea maada. State of the United Republic of Tanzania haimnyang'anyi Mtanzania Uraia wake baada ya mtu huyo kwa hiyari yake mwenyewe kuamua kuukana Utanzania wake na kuchukua uraia wa nchi nyingine.
So...?