beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema Mnunuzi yeyote anapochukua Pamba katika Chama cha Msingi, ni lazima Mkulima awe amelipwa ndani ya muda usiozidi saa 48, na watakaoenda kinyume watafutiwa Leseni.
Kauli yake imekuja baada ya Mbunge Robert Maboto kuhoji ni kwa namna gani Wizara imejipanga kuwasimamia wenye Viwanda wasiende kukopa kwa zao hilo kwa Wakulima.
Kauli yake imekuja baada ya Mbunge Robert Maboto kuhoji ni kwa namna gani Wizara imejipanga kuwasimamia wenye Viwanda wasiende kukopa kwa zao hilo kwa Wakulima.