BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 327
- 414
Mnada wa Cacao wenye Catalogue no 10 ya 2021/2022 umefanyika Mkoani Mbeya Wilayani Kyela, Mwambusye Amcos mnamo tarehe 06/09/2021. Jumla ya uzito ni kg 266,980, bean count 88, slate 1.9, flate 1.0, mould 0.2.
Bei tsh 5015 per kg Mzigo kwa bei hiyo Thamani yake ni Tsh.Bilion 1,338,904,700/= Ahsante Mhe Rais kwa kusimamia vyema ushirika na wananchi kupata bei nzuri kutoka 2500 Mpaka 5015 kwa kilo moja Bei ya Cacao.
Kazi iendelee na Mhe Rais wetu Mpendwa Samia Suhulu Hassan.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Zuberi Homera.
Bei tsh 5015 per kg Mzigo kwa bei hiyo Thamani yake ni Tsh.Bilion 1,338,904,700/= Ahsante Mhe Rais kwa kusimamia vyema ushirika na wananchi kupata bei nzuri kutoka 2500 Mpaka 5015 kwa kilo moja Bei ya Cacao.
Kazi iendelee na Mhe Rais wetu Mpendwa Samia Suhulu Hassan.
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe Juma Zuberi Homera.