Serikali yaongeza umri wa Utegemezi kwa Wazazi kutoka miaka 18 hadi 21

Wataalamu wa masuala ya kiuchumi na maendeleo ya jamii....mje mtutoe tongo tongo hili ongezeko la utegemezi lina mantiki gani kiuchumi na kijamii.......??
 
Viwanda vya bia na vilevi vingine itabidi wabadilishe lile katazo na tahadhari pia, kuwa hairuhusiwi kuwauzia vijana wenye umri wa miaka 21 na chini yake. Kwa maana tegemezi umri huu wanakuwa wameshafunguka macho na wanapenda kujirusha sana.

Kuna umri wa utegemezi na umri wa utu uzima. Haya ni mambo mawili tofauti na ndio maana hukusikia wakisema umri wa kupiga kura nao unabadilika n kuwa 21. Kama tutasema tena miaka 21 si mtu mtu mzima - sheria nyingi itabidi zibadilishwe kama umri wa kupata kitambulisho cha taifa, umri wa adhabu ya kifungo nk. Kuna mataifa yamefanya umri wa utu uzima na utegemezi kuwa 21.

ILO inatambua umri wa utegemezi kuwa ni miaka 21. Kwa hili tumefikia viwango vya kimataifa.
 
Akili za binadamu mwenye upeo utaiona kwenye issues kama hizi, badala ya kutaka kujua sababu ya kuongeza umri ni ipi, kinachofanyika ni kusifia hata kisichosifika.
Hakika mkuu......watu bado wanafurahia kuondoka kwa Magufuli......kwa hiyo kila kinachofanyika kinyume na Marehemu ni furaha tu bila kutafakari.......
 
Wenye "negative mind" tunaonekana tu pale nyie wenye "acuity in mind" mnapogeuka kuwa mabubu na kushindwa ku "demonstrate power of your positivity" katika kuibua, kujenga, kutetea na kujibu hoja zetu dhaifu.
Mzee ya mbege hem soma ulichoandika Kwanza kabla ya ku post
 
Ujamaa ulitudumaza...

Ukiwa na mentality ya kulelewa na wazazi hadi ulipofika 25 hii habari ifurahie

Kuna nchi ukiwa 16 unafukuzwa kwenu ama unatakiwa kuchangia bills...na nchi nyingine kuanzia 16 unaruhusiwa kufanya kazi kama minor na unajisomesha...

Kweli jiwe alikuwa katili kwa watoto wakubwa

RIP Mwamba ...
... abarikiwe sana Samia. Hiyo ndio maana halisi ya maendeleo ya watu na sio vitu enyi Mataga Iq finyu msio na akili. Uamuzi aliofanya Mungu March 2021 ni wa ajabu sana.
 
... duniani huko wasio na ajira wana posho kila mwezi kujikimu kimaisha.
Hizo posho zinatokana na wao kutokuwa na akili za kitegemezi kama hizi. Na wao wangekuwa wavivu wa kufikiri kama sisi wasingekuwa na hizo posho.
 
Wakati Dunia inabadilisha umri wa mtu kua mtu mzima kutoka 18 kuja 16,sisi tunaongeza kwenda 21.

Boresha mazingira ya kazi, elimu, bima ya afya kwa kila mtu watu wanze kujitegemea mapema.

Tusitengeneze kizazi cha wategemezi. Itafika muda mtaongeza hadi miaka 25 kua wategemezi.

Wabongo wengi ni watoto hadi miaka 25, sijui kwanini ubongo wa wengi wetu unachelewa mno kukomaa.!
 
Niliishi Chicago US sikuona huo utaratibu....

Ila iliwahi kutokea kuna mtu nilimwambia sina pesa akasema huko ukiwa huna pesa serikali inakugawia nikashangaa kidogo

Nadhani Nordic countries ma Canada ..sizijui zote...wana huo utaratibu only kwa kuua wafanyabiashara kwa kuwatoza higher taxes na somerimes 50% tax...
... Unaishi wapi wewe?
 
Back
Top Bottom