Hovyo kabisa hawa watu!!Hawa watu si waliambiwa kwamba wanakosema wakawa wanabisha!! Yaani CCM mpaka waje kuelewa kama Taifa huwa tayari tumeshapata hasara ya maana sana!!
Yaani wao huwa wanawaza sifa za kisiasa tu. Zaidi ya kuokota vichwa vya Treni Bandarini hakuna la maana walilofanya!!Hovyo kabisa hawa watu!!
tangu alipopora hela za misaada ya marehemu wa MV NYERERE nilimdharau moja kwa mojahuyu hata kutamka Dar es salaam kashindwa
Habari nzuri
Magufuli oyeeeeee
MWANZO LIPOSHAURIWA ALIKIMBILIA KUSEMA WANAOSHAURI/KULALAMIKA WAPIGA DILI NA MKAMSHANGILIA, LEO MAMBO YAMEBUMA ANABADILIKA MNAKUJA TENA KUSHANGILIA UJINGA WENUYES YES THIS IS MAGUFULI
MWANZALIPOSHAURIWA ALIKIMBILIA KUSEMA WANAOSHAURI/KULALAMIKA WAPIGA DILI NA MKAMSHANGILIA, LEO MAMBO YAMEBUMA ANABADILIKA MNAKUJA TENA KUSHANGILIA UJINGA WENU
TATIZO LENU HAMUELEWEKI MNASIMAMIA MSIMAMO GANO, LEO MAGUFULI AKISEMA POMBE HARAMU MTAMSHANGILIA, KESHO AKIBATILISHA NA KUSEMA POMBE HALALI NAKO MNAMSHANGILIAAcha wivu
Kila kitu kinawakati.. hakuna kukutupuka awamu hii bila mengine kufanyika.
Magufuli oyeeeee
TATIZO LENU HAMUELEWEKI MNASIMAMIA MSIMAMO GANO, LEO MAGUFULI AKISEMA POMBE HARAMU MTAMSHANGILIA, KESHO AKIBATILISHA NA KUSEMA POMBE HALALI NAKO MNAMSHANGILIA