SERIKALI yanyang'anya ukumbi wa STARLIGHT ambao ulikwishalipiwa na MADAKTARI

Serikali ya kipuuzi kwa sa sababu inaendeshwa na watu wapuuzi kama pinda, wanadhani hawa ni wanafunzi wa udsm wajue hawa ni watu wanaotetea maisha ya wananchi ambayo serikali inajifanya kuwajali. Pinda amekuwa kama galasha anapepesuka tu kama vile ana mtindio wa ubongo.
 
Sasa unataka nikatibiwe na dokta aleshurutishwa kutibu??? Si ndio nitapewa panadol kutibu kipindupindu? Au ARVs kutibu kichwa??

Wazee tuhurumieni bwana, wasikizeni madokta, fukuzia mbali Nyoni
 
Tatizo la kutokuwa na uwezo wa kulink issues. Ni sawa na vile ambavyo serikali halioni athari ya traffik jam na kushuka kwa ufanisi makazini na uchumi kwa ujumla. Madaktari wakigoma wafanyakazi wagonjwa watashindwa kufanya kazi kwa ufanisi, wafanyakazi wenye ndugu wagonjwa watashindwa kufanya kazi, wanafunzi watashindwa kusoma, walimu watashindwa kufundisha

Sijui kwa nini wanalitreat hili suala kipekee pekee! na ndio maana majibu yao ni ya kikawaida sana.
 
Ntie ndio mnapoteza wenzenu, wanafunzi hao wamefukuzwa. Wachangieni sasa muwaingize vyuo vingine, mbona mko kimya? hata hamjui walipo.

Hata hujui interns ni nani? Hao wana vyeti vyao vya degree ya Doctor of medicine wanachotafuta ni certificate of Doctors board ambayo anaweza kuomba nchi yoyote tu. kwa mapenzi mema na nchi yao ndio wanafanya hapa. na anaweza kutumia cheti chake kuomba kazi nyingine asipotaka kupractise udaktari wa kutibu watu.
Kama serikali angekuwa mama yako ambaye hata akifa utamkumbuka ningempa hongera ila kwa sababu wewe na wewe umo kama wale walio kuwemo, namaanisha haudumu.
 
Masaburi @ work & thinking


Hata unachokisema hujui, aliyedharau ni nani? wakati Waziri Mkuu ndiye aliyengoja?

Hapo tumeridhiswa kuwa si Serikali ambayo haisikilizi ni hao vibaraka wachache wanaotaka kuvuruga amani ya nchi, na hao madaktari ni vikaragosi vinavyotumiwa na wajanja wachache kwa ujuha wao wa kuahidiwa hewa.
 
Kweli mama? Una ubongo wewe?wakishaenda kulima. Je sisi wagonjwa twende wapi?au tusubiri kuvuna? Kweli nimetambua una roho mbaya sana. Roho mbaya sana hasa hasa kwa mwanamke anayestahili kuitwa Mama!

Tena ameingiliwa na pepo la kumfikirisha kinyumenyume! A servant of magmba! Lakini kumbuka siku inakuja......!
 
Mungu bwana sura mbayaaa! Jina bayaaa! Maamuzi mabaya! Mlia ovyo huyoooooo!
 
Wakuu nimesoma muda sana habari hiinikashindwa kuamini kwamba Pinda anaweza kusema haya watu wakiwa wanakufa.Siamini kama kweli serikali ina washauri wa namna kwa Kiongozi kama Pinda.Hakika natamani hao FFU wawe lindoni nyumbani wake zao watoto wao , mama zao ,wadogo wanao kaa nao waumwe ghafla na waende Muhimbili wajionee kama kweliwatarudi kulinda ukumbi wa starlight .
 
Tatizo la kutokuwa na uwezo wa kulink issues. Ni sawa na vile ambavyo serikali halioni athari ya traffik jam na kushuka kwa ufanisi makazini na uchumi kwa ujumla. Madaktari wakigoma wafanyakazi wagonjwa watashindwa kufanya kazi kwa ufanisi, wafanyakazi wenye ndugu wagonjwa watashindwa kufanya kazi, wanafunzi watashindwa kusoma, walimu watashindwa kufundisha

Sijui kwa nini wanalitreat hili suala kipekee pekee! na ndio maana majibu yao ni ya kikawaida sana.

MWANAJ,
Ukweli serikali ingeweza kulitatua tatizo hili kiungwana na kidiplomasia zaidi kwa faida ya wagonjwa.
Hizi amri Pinda/Serikali inayotoa ni maafa kwa wagonjwa na hasara kwa wananchi na taifa.Huwezi kuhudumiwa na daktari mwenye usongo ukatibika.Kina Pinda wanajua wao watatibiwa Apollo! Haya tutaona mwisho wa siku nani mshindi kwenye hii silent struggle.
 
Siamini Kabisa kuwa Serikali yetu inaweza fanya mambo ya Kishenzi na Kijinga Kiasi hicho.....Hivi tunaposema Serikali tuna referer kwa nani?? Sidhani kama watu wote Serikalini wanaakili finyu za kimaamuzi kama hizi za kuanza kufunga kumbi za mikutano. Naomba tusiiabishe Serikali hii, tuambieni huyo aliyetoa amri ya kufunga hizo kumbi ni nani????? Hivi tunatawaliwa na Makaburu?? Kwa hiyo tufanye kama SOWETO?? Halafu hizo gharama za hao wafanya biashara wenye kumbi zao nani atazilipa?? Is serikali hiyohiyo? Halafu wanasema hawana pesa za Madaktari?? Kwa kweli tumechoka sasa na hii serikali kichaa.
 

We acha tu KH, yaani hawa madaktari wanadharauliwa kupita kiasi. Serikali inafanya maamuzi ya hovyo hovyo kama ilivyokuwa ile Serikali dhalimu ya makaburu kule South Africa.

Hata hiyo makaburu ili kuwa na unafuu sana.
 
eeeh !! haya bwana kweli kazi ipo safari hii hadi miaka iishe tutakuwa tumeona na kusikia mengi sana
 
Misri wananchi walizuiliwa mikusanyiko ya kila aina,lakni walitumia facebook na twitter mpaka Mubarak akaondoka,na nyie tumia njia yoyote mpaka taalum yenu ieshimike
 
Sijaelewa hapa, wanawazui kufanya mikutano ya ndani kwa hiyo wanata watumie " OCCUPY VIWANJA VYA MAGOGONI" style ?
 
sasa hili ndo suluhisho kweli???je wakiamua kwenda kazini halafu hawafanyi kazi???au wakiamua wanaingia mpaka ofsini lkn wanafanya ndivyo sivyo??du kazi tunayo kwa hii serikali acha tu.
wananchi acheni kulalamika hawa mapoyoyo mliwachagueni ninyi kila kitu wanafikiria kutumia mabavu kutatua.
 
jamani wanakotoka madaktari ni mbali mno. Kwa siku hizi darasa la watoto 200 wanaosoma sayansi form 4 ni kama 20.
 
Back
Top Bottom