Ni kweli inatakiwa serikali iongee na wawakilishi wa madaktari siyo kuongea na kundi looote la madaktari!PM Pinda amesema mikutano ya maDr isiyo na tija ni marufuku kuanzia kesho. So hamna vya Starlight wala Bon Dosco. Kwa kifupi serikali imeamuru Hamna Mikutano ya Madaktari. Warudi kazini na mazungumzo yatapangwa baina ya Serikali na Viongozi wa Madaktari.
Kwani wewe Faiza Foxy waziri mkuu ni kitu gani au ni nani hata awe na dharau,au hata atetemekewe?hapa hakuna kujipendekeza,taarifa ya maandishi aliwapelekea hao ma-Drs ilipelekwa wakiwa wamesha sambaa na tayari walishakubaliana kukutana Monday,sasa leo kaenda kufanyaje leo?Hatetewi CCM hapa, hivi kumuweka Waziri Mkuu awangoje halafu wasitokee, wana kiburi aina gani? ikiwa wanaweza kumfanyia hivi waziri mkuu, hao wagonjwa inakuwaje?
Hiyo mikutano yao kwa sasa ni haramu, imeshapigwa marufuku na Serikali, Ilikuwa wakutane na Waziri Mkuu leo, kilichowafaya wasiende ni nini?
i hate you with passion!hata unachokisema hujui, aliyedharau ni nani? Wakati waziri mkuu ndiye aliyengoja?
Hapo tumeridhiswa kuwa si serikali ambayo haisikilizi ni hao vibaraka wachache wanaotaka kuvuruga amani ya nchi, na hao madaktari ni vikaragosi vinavyotumiwa na wajanja wachache kwa ujuha wao wa kuahidiwa hewa.
Hakuna kazi isiyo na sulubu zake, ndio maana inaitwa kazi. Wao ndio kazi yao na wewe unaweza kuwa unaona ya kutisha wao wanaona ni kawaida tu.
Lakini hili la kufanya dharau kwa Serikali, hatuliungi mkono hata kidogo, wangekwenda kusikiliza kama hawajaridhika wangesema hilo hapana, ndio mambo yanavyokwenda, sio kususa, wanasusa nini? hawajajifunza kutoka kwa wasusaji wakuu walipoamuwa kususuka?
this time wachezea wanaume, madaktari sio walimu, wanaowagawa kwa laki saba na kozi za muda mfupi
Hawa viongozi wetu wana short sight sana....wanasahau kuwa hata wao wanaugua(pinda tunamjua mgonjwa) na watahudumiwa na hawa hawa madaktari...hata kama viongozi watawakwepa madaktari muhimbili wakiugua lakini watakutana nao kokote private watakapoenda....watawakuta hawahawa madaktari.....if they force doctors to go back to work with their problems unsolved...then they should expect the worse.....and more importantly...an increased mortality rate due to negligence.......Pinda ukizidiwa usiku hutakimbizwa India, utakwenda Muhimbili kwanza, nakuhakikishia safari ya India utaisikia ahera. Sindano moja tu ya insulin inakutosha, Mapambano yanaendelea.
u will all die if you joke wit doctors
hiyo mikutano yao kwa sasa ni haramu, imeshapigwa marufuku na serikali, ilikuwa wakutane na waziri mkuu leo, kilichowafaya wasiende ni nini?