SERIKALI yanyang'anya ukumbi wa STARLIGHT ambao ulikwishalipiwa na MADAKTARI

majukumu ya waziri mkuu ni kupokea taarifa toka kwa mawaziri wengine na kutoa directive kwa hao mawaziri, pili kumshauri raisi kuhusiana na mambo ya uendeshaji wa serikali kisheria, kiutawala, kisiasa kiuchuni na kibinadamu, bila kuathiri shughuli za serikali, sasa JK kumrudishia faili la posho ni mtego wa JK kwa Pinda kwamba atatumia busara zake kulitolea uamuzi suala hili kisiasa, kiuchumi nk na vivyo hivyo suala la madaktari ni mategemeo ya JK kwamba pm atamshauri ipasavyo bila kutia chumvi au kuondoa ukweli wa jambo lenyewe,
 
Pinda ukizidiwa usiku hutakimbizwa India, utakwenda Muhimbili kwanza, nakuhakikishia safari ya India utaisikia ahera. Sindano moja tu ya insulin inakutosha, Mapambano yanaendelea.

Wrong! Hukusoma 'animal Farm'? Nguruwe walikuwa tofauti na wanyama wengine. Yeye atakwenda Makumbusho kwenye hospitali ya usalama wa taifa au atakwenda Lugalo!
 
Ntie ndio mnapoteza wenzenu, wanafunzi hao wamefukuzwa. Wachangieni sasa muwaingize vyuo vingine, mbona mko kimya? hata hamjui walipo.

Hivi ifikie wakati nyie watetezi wa ccm muwe mnajiuliza ni sahihi kuwatetea hawa Magamba?
 
Hao madaktari wasifikiri wao ndio wanatoa uhai. Kwanza wengi wao ni interns, sasa watajuwa kuwa Serikali ina mkono mrefu.

Hao wengine wanajiharibia maisha yao kwa kudanganywa na kuchotwa na akili na kundi dogo la watu.

Ntie ndio mnapoteza wenzenu, wanafunzi hao wamefukuzwa. Wachangieni sasa muwaingize vyuo vingine, mbona mko kimya? hata hamjui walipo.
We ajuza hulali tu, acha vijana wapiganie nchi yao, wewe zama zako zimekwisha usipotoshe watu hapa.
 
nadhani wanajaribu kuwadhibiti madaktari kwa kutumia ile style ya kuwadhibiti wamachinga...tumeona utumbo wa kikwete uswisi sasa ni zamu ya kuona uharo wa pinda.
 
dalali wao kafika... the best thing to do is ignoring her

mkuu, nina hasira na hawa makenge hawa........we acha tu.

Mkuu, ukiwa unakuja useme basi, tunataka twende simanjiro tukapige swala kadhaa hapa kati labda mwezi wa sita mvua zikishamalizika. Kibali kipo kibindoni sasa......salute.
 
Hatetewi CCM hapa, hivi kumuweka Waziri Mkuu awangoje halafu wasitokee, wana kiburi aina gani? ikiwa wanaweza kumfanyia hivi waziri mkuu, hao wagonjwa inakuwaje?

alijialika, akajifikisha bila kujali kwamba jumapili aliomba wakutane jana baada ya kazi na wakamkaukia.... let me tell you some, washauri wa pinda wametumia mbinu ambayo ingefanya kazi enzi zileeee, not now

JUST WAIT AND SEE
 
na kesho kama hawakwenda vituoni ndio wamejifukuzisha kazi. Namuunga mkono pinda mia kwa mia.

Tena wasipewe leseni kabisa za kufanya hizyo hapa tanzania, wakatafute pakufanyia au wakalime, hiyo kazi hawaiwezi kabisa.
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... If wishes were horses, beggers could ride
 
Hiyo mikutano yao kwa sasa ni haramu, imeshapigwa marufuku na Serikali, Ilikuwa wakutane na Waziri Mkuu leo, kilichowafaya wasiende ni nini?

Hili ni kosa la kiufundi. kama mna madai n mkuu anataka kuwasikiliza nyinyi hamuendi mnategemea nini. Hapa madaktari wameteleza wataonekana hawana nia njema. kwa nini wasingeenda wakamsikiliza anawaambia nini kisha ndio waamue la kufanya. Nilisema humu kwamba wasipoend watakuwa.wamemwaga chini hata kale ka support walikokuwa wakipata toka kwa baadhi y wananchi. Na hiki ndicho kinaelekea kutokea.
 
mkuu, nina hasira na hawa makenge hawa........we acha tu.

Mkuu, ukiwa unakuja useme basi, tunataka twende simanjiro tukapige swala kadhaa hapa kati labda mwezi wa sita mvua zikishamalizika. Kibali kipo kibindoni sasa......salute.
this time wachezea wanaume, madaktari sio walimu, wanaowagawa kwa laki saba na kozi za muda mfupi
 
Hiyo mikutano yao kwa sasa ni haramu, imeshapigwa marufuku na Serikali, Ilikuwa wakutane na Waziri Mkuu leo, kilichowafaya wasiende ni nini?

we nawe sio unaongea tu mautumbo yako hapa..nchi hii ina waziri mkuu toka lini?hivi tanzania kuna waziri mkuu? anaitwa nani?
 
gadafi alikuwa hivi hivi lakini mwisho wa siku akaingizwa vijiti matakoni ....wala sishangai siku inakuja tu kuna mtu atasokomezwa vijiti maeneo...
 
sasa hili ndo suluhisho kweli???je wakiamua kwenda kazini halafu hawafanyi kazi???au wakiamua wanaingia mpaka ofsini lkn wanafanya ndivyo sivyo??du kazi tunayo kwa hii serikali acha tu.
 
PM Pinda amesema mikutano ya maDr isiyo na tija ni marufuku kuanzia kesho. So hamna vya Starlight wala Bon Dosco. Kwa kifupi serikali imeamuru Hamna Mikutano ya Madaktari. Warudi kazini na mazungumzo yatapangwa baina ya Serikali na Viongozi wa Madaktari.

Nawashauri waanzishe blog wajadailiane kupitia mtandao!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom