KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
haueleweki ndo maana tunataka maelezo yako yanayojitosheleza!naomba mnielewe jamani... katika hili siitetei wala siisemi serikali, mpaka nitakapothibitisha au kuthibitishiwa kuwa magari haya yamenunuliwa na serikali. Hivi ni gumu kuelewekahilo?