Kkimondoa
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 4,453
- 4,933
Ili mbunge au diwani au kiongozi yeyote wa kuchaguliwa na wananchi aweze kujiudhuru basi kujiudhuru kwake lazima kupitishwe na kamati maalum ya jimbo husika ambayo nashauri ingeundwa kutoka kwa wawakilishi wa kila kata yaan madiwani na wenye viti wa vijiji hasa baada ya kuridhishwa na sababu zake za kutaka kujiudhuru ubunge
maana kuchaguliwa anachaguliwa na wananchi halafu kujiudhuru akijisikia tu yeye binafsi kwa sababu zake na matakwa yake tena mengine ya hovyo na wakati wowote anajiudhuru
hapana nadhani hapo ni mwananchi ambaye ni mpiga kura ndiye anaye jeruhiwa na kunyonywa maana alipoteza wakati wake kumchagua na pengine alijeruhika pia na pesa zilizo tumika katika uchaguzi ni kodi anazokamuliwa tena mwananchi huyo huyo nadhani ni basi tu nchi ina bora viongozi na sio viongozi bora na wenye uchungu wa kweli na taifa ,
Hali kadhalika na diwani naye lazima kamati za kata zikihusisha wenyeviti wote wa vijiji na vitongoji wakae wajadili na kukubaliana na sababu za diwani huyo kujiudhuru hapo ndipo ajiudhuru na gharama zoote za kuitisha vikao hivuo vya kamati agharamie mwenyewe
Na baada yapo mbunge huyo au diwani huyo anapoteza sifa za kugombe tena nafasi hiyo kwa mda wa miaka mitano.
Nadhani hiyo ingepunguza ujinga ujinga unao endelea ambao kuna wapumbavu wachache wana ushabikia wakidhani ni ujanja kumbe tuna zidi kurudisha nyuma taifa kiuchumi na kisiasa maana pesa ambayo itaitisha tena uchaguzi huenda ingejaza hata mafuta kwenyw safari za rais na msafara wake tungekuwa tume save kiasi kwa matumiz mengine ya msingi
Hii ina maana kwamba kuanzia nyalandu na kundi lote linalo endeleza ushenzi huo usio na huruma na pesa za taifa hili na mda wa wapiga kura.
HII HAIHUSU ANAENDA CHAMA GANI AU KUTOKA CHAMA GANI AU SABABU ZOZOTE ZILE BALI MWANANCHI NDIYE ANAYE DHURUMIWA HAKI YAKE, MDA WAKE NA JASHO LAKE KWA UZEMBE NA UJINGA WA MTU MMOJA AU WAWILI KWA AMATAKWA YAO YANAYO LITIA HASARA TAIFA NA KUUMIZA WANANCHI.
maana kuchaguliwa anachaguliwa na wananchi halafu kujiudhuru akijisikia tu yeye binafsi kwa sababu zake na matakwa yake tena mengine ya hovyo na wakati wowote anajiudhuru
hapana nadhani hapo ni mwananchi ambaye ni mpiga kura ndiye anaye jeruhiwa na kunyonywa maana alipoteza wakati wake kumchagua na pengine alijeruhika pia na pesa zilizo tumika katika uchaguzi ni kodi anazokamuliwa tena mwananchi huyo huyo nadhani ni basi tu nchi ina bora viongozi na sio viongozi bora na wenye uchungu wa kweli na taifa ,
Hali kadhalika na diwani naye lazima kamati za kata zikihusisha wenyeviti wote wa vijiji na vitongoji wakae wajadili na kukubaliana na sababu za diwani huyo kujiudhuru hapo ndipo ajiudhuru na gharama zoote za kuitisha vikao hivuo vya kamati agharamie mwenyewe
Na baada yapo mbunge huyo au diwani huyo anapoteza sifa za kugombe tena nafasi hiyo kwa mda wa miaka mitano.
Nadhani hiyo ingepunguza ujinga ujinga unao endelea ambao kuna wapumbavu wachache wana ushabikia wakidhani ni ujanja kumbe tuna zidi kurudisha nyuma taifa kiuchumi na kisiasa maana pesa ambayo itaitisha tena uchaguzi huenda ingejaza hata mafuta kwenyw safari za rais na msafara wake tungekuwa tume save kiasi kwa matumiz mengine ya msingi
Hii ina maana kwamba kuanzia nyalandu na kundi lote linalo endeleza ushenzi huo usio na huruma na pesa za taifa hili na mda wa wapiga kura.
HII HAIHUSU ANAENDA CHAMA GANI AU KUTOKA CHAMA GANI AU SABABU ZOZOTE ZILE BALI MWANANCHI NDIYE ANAYE DHURUMIWA HAKI YAKE, MDA WAKE NA JASHO LAKE KWA UZEMBE NA UJINGA WA MTU MMOJA AU WAWILI KWA AMATAKWA YAO YANAYO LITIA HASARA TAIFA NA KUUMIZA WANANCHI.