Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,659
- 12,283
Nashangaa MATAGA wanavyoshangilia Mbowe kunyea ndoo.
ukome kabisa kumfananisha Gaidi Mbowe na watu hao watakatifu.
Ndiyo tujue na kujifunza kwamba mshtakiwa hana hatia hadi itakapothibitishwa hivyo mahakamani pasipo shaka. Siyo mnampiga, mnamtesa, mnamnyima haki ya dhamana, haki ya kutetewa na wakili, kumdhalilisha nk.Hapa kuna suala limenipiga chenga. Kumbe inawezekana wakati mwenzangu kanishitaki, na mimi ninaweza wakati huohuo kumshitaki? Ninatoka mahakamani kujibu tuhuma dhidi yangu leo, kisha kesho na yeye anaenda mahakamani kujibu tuhuma dhidi yake.
Hapa sijaelewa. Ninaona kama umeshindilia points kadhaa kwa pamoja bila ya kuwa na ushikamani(coherence). Kha!Ndiyo tujue na kujifunza kwamba mshtakiwa hana hatia hadi itakapothibitishwa hivyo mahakamani pasipo shaka. Siyo mnampiga, mnamtesa, mnamnyima haki ya dhamana, haki ya kutetewa na wakili, kumdhalilisha nk.
Hili ndilo linaangaliwa na kesi aliyofungua mshtakiwa Mbowe. Ambaye nilisikia wana-chadema wakisema IGP ametamka kwamba ni "gaidi".
Tuwe na subira. Punde ukweli utajulikana.
Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
Lazima kila kitu kiende kimenyooka, vinginevyo vizazi vijavyo vinaweza kutushangaa. Kama pamepinda panyoshwe na kama pako sawa kesi iendelee kama kawaida. Kusema taratibu za kumkamata zilikiuka katiba, hazimfutii kesi ya ugaidi, anaweza kuachiwa na hapo hapo taratibu zikafuata akakamatwa tena.Kwan aliefungua kesi si mbowe?
Badala ya kupambana na kesi ya ugaidi anatafuta njia za mkato kujinasua
Hakuna mwanadamu ambaye siku zake hazihesabiki bwashee!siku zenu zinahesabika
Hakuna mwanadamu ambaye siku zake hazihesabiki bwashee!
Yes kulingana na kutokuelimika kwako na kujua vema ulimwengu wa sasa ulivyo.Huna lolote wewe.
Nimekuwa Kaburu? Sawa Chaga gangster!Acha ubaguzi wewe kaburu
Unazidi kuuthibitisha ukaburu wako.Nimekuwa Kaburu? Sawa Chaga gangster!
Ndoo NI Kwa KILA MTU. Leo yeye kesho weweYeye mwenyewe ndiye anarefusha mlolongo wa kesi ya msingi, kwa hiyo ataendelea kutimba kwenye ndoo mpaka kieleweke