thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Wazo jema sanaNimesikia waziri mwenye dhamana alisema Musiba hajatumwa na serikali ila anajifanyisha. Musiba hajawahi tamka kuwa katumwa na mtu.
Sikuzote anasema ni mwanaharakati huru anayezikubali kazi za jpm. Sasa shida iko wapi? Anachokifanya ni kuwataja watu ambao kwa mtizamo wake wako kinyume na jpm. Sasa Kama kumtetea jpm ni kosa mbona wanaomkosoa iweje waachwe?
Mtu kusema kuna mtu kapiga hela nssf Kuna shida gani? Mbona wao wanasema Kuna 1.8trln imeyoyoma na tuko kimya?
Kumbuka tuko wengi tunaomtetea jpm na wala hatuhitaji atutume.