Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,941
Sema drama za ccm bhana za kishamba sana
Hadi swalehe anawashangaa !
Hadi swalehe anawashangaa !
Mzee hizi ni drama ccm wanazchezaKangi Lugola hajipendi
Musiba ni laudi spika LA MSUKUMA ASIYE NA SIRI
Kuniambia upumbavu wote nchi hii ni Musiba au TISS ndio chanzo siamini!
Chanzo cha haya yote ni Jiwe!
Acheni kutuona sisi viazi!
Eti “ooh TISS imebadilika”....sijui “Musiba kaonywa”...etc....shut up!
Stop playing!
Mzizi of all evils ni Jiwe!
Sisi sio mafala tumewashitukiaMzee hizi ni drama ccm wanazcheza
Tatizo tunadhani wanaharakati wote wako against government. musiba ni pro government. Na sio Kila anayemuunga mkono jpm waziwazi anataka cheo. Tuheshimiane
Bado ameichafua sana CCM, adhabu ipo pale pale labda kama sio CCM niliyokulia mimiWanabodi mabadiliko TISS sasa yanaonekana, Musiba apewa onyo kali Leo na kangi lugola
Kila kitu na zama zake, Sasa ni zama za Musiba.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amesema kwamba
''Nimuonye huyu Cyprian Musiba kuacha kuhusisha harakati zake na Serikali au kuwa Rais anamtuma. Serikali hatuwezi kufanya kazi kwa kuwatuma wanaharakati kutusemea. Imefikia wakati viongozi wa dini wanaandika waraka wakidhani Serikali inabariki mambo yake.''
Wanabodi mabadiliko TISS sasa yanaonekana, Musiba apewa onyo kali Leo na kangi lugola
Kila kitu na zama zake, Sasa ni zama za Musiba.
Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amesema kwamba
''Nimuonye huyu Cyprian Musiba kuacha kuhusisha harakati zake na Serikali au kuwa Rais anamtuma. Serikali hatuwezi kufanya kazi kwa kuwatuma wanaharakati kutusemea. Imefikia wakati viongozi wa dini wanaandika waraka wakidhani Serikali inabariki mambo yake.''
Nategemea Kupatikana Wasiojulikana
Ukiona ngedere wanajidai kugombana karibu na shamba lako uwe makini.Wanakuchezea sinema uwazubalie walio nyuma yako waibe mahindi yako.Walewale, waarabu wa pemba hao