Serikali yamuonya Cyprian Musiba kuacha kuhusisha harakati zake na Serikali au kuwa Rais anamtuma. Musiba ajibu yupo tayari kukamatwa

Lugora yuko sahihi ,yy ni waziri wa mambo ya ndani.

Haiwezekani huyu musiba eti ndiye mwabaharakati pekee anaye ipenda nchi

Nina mifano ,mwanafunzi mmoja wa kike alifeli darasani somo La hisabati na mwl wa somo akaandika zero huu, ya paper
Ukweli yule binti alikuwa na sifa ya kuwahi shule na akifika shule alifagia madarasa yote ,kweli alipaswa kusifiwa kuondoa takataka shuleni ,na daima aliona wenzake ,hawaipendi shule kama yeye
Sasa kafeli ,ajabu alianza kulalama kuwa yule mwalimu kamwandikia masikio au kuchorwa vibaya ile ziro ,akaanza kusema Mimi naandikiwa zero na huyu mwl hajui mie ni mwanafunzi mtiifu sikubari huu ujinga wa huyu mwl tena aliwahi,l kunitongoza ,ajaribu tena atanijua mi nani?
Tena huyu mwl nina siri zake za kutaka vibinti atanikoma jamani!

Huyu musiba anashindwa kujua Lugora NI waziri wa mambo ya ndani? Nikama yule binti anashindwa kujua yule NI mwl wa Hisabati anacho Fanya NI kusahihisha mwanafunzi wote bila upendeleo,anatimiza wajibu wake ,sasa mwl anatishiwa kisa aliwahimutongoza! uzuri Alisha mukataa sasa ujinga wake yule binti iwe nongwa ya mwl?

Musiba ajue kumupa Ngoswe mambo ya Ngoswe

Wawe wametoka wote mwibara au waligombea ubunge au wanataka ubunge iyo si hoja ,NI ujinga

Musiba amefanya nchi iparanganyike kila siku anaongelea watu na si maswala ,
Simple mind ,discuss people ,that is musiba,ivi watu wajitokeze wawe kama Musiba nchi hii itakalika kweli?

Mwl Nyerere ,aliwa sema "heri umasikini na heshima kuliko utajiri na fedheha


Tukatae akina musiba hata wawe mia .

Tunataka Amani ya mwl akiyotuachia,wanao haribu sheria ,mahakama zipo,polisi wapo etc sio mwanaharakati Musiba .Yy atapita Nchi itabaki

Aliambiwa*niguse ninuke* kagusa sasa

Lyamba lya mufika Nteko amani hata milimani Sumba - wanga Tupa uchawi

Japo nauchukia ' Upuuzi ' wa Musiba ila sikubaliani na hizi Sifa ambazo leo mnampa Waziri Lugola kwani huyu Nyoka wao ndiyo walimlea Wenyewe tokea alipokuwa Mdogo na leo ameshawauma Watu na wengine kuwaachia Majeraha ndiyo wanajifanya kuhangaika kutaka Kumdhibiti. Unafiki huu Mimi siupi nafasi na nailaumu mno Serikali na hasa Idara / Taasisi ya Usalama wa Taifa nchini ( TISS ) kwani ilipaswa imuwahi katika ' Kumdhibiti ' mapema ila ama ilikosa meno au na yenyewe ilikuwa ni sehemu ya ' Upuuzi ' wa Musiba. Kwa hili TISS wasikwepe lawama na naanza kupata nao Mashaka vile vile nikiwa kama Mtanzania Mzalendo kabisa nisiyependa Ujinga na Upumbavu.
 
Tena waziri wa mambo ya ndani, just imagine
Hii ndio freedom of expression kama U.S vile 👏👏👏
 
Hakika inanishangaza kuona mtu anayejiita “Mwanaharakati Huru” anakuwa na nguvu kiasi cha kuweza kumjibu Waziri wa Mambo ya Ndani vile apendavyo hakika inasikitisha sana sana.

Kwa kweli inafikirisha sana.

Tunashindwa kuuelewa mgawanyiko na mipaka ya kimamlaka, dhidi ya raia wake.
Binafsi ninaona anayohaki ya kutoa maoni yake kwa mujibu wa katiba bila kuvunja sheria
Lakini hii haiondoi imani iliyojengeka kwa wananchi kwamba anatumika na mamlaka fulani.
Anayoyawakilisha si yake kama mwanaharakati huru
 
Lugora yuko sahihi ,yy ni waziri wa mambo ya ndani.

Haiwezekani huyu musiba eti ndiye mwabaharakati pekee anaye ipenda nchi

Nina mifano ,mwanafunzi mmoja wa kike alifeli darasani somo La hisabati na mwl wa somo akaandika zero huu, ya paper
Ukweli yule binti alikuwa na sifa ya kuwahi shule na akifika shule alifagia madarasa yote ,kweli alipaswa kusifiwa kuondoa takataka shuleni ,na daima aliona wenzake ,hawaipendi shule kama yeye
Sasa kafeli ,ajabu alianza kulalama kuwa yule mwalimu kamwandikia masikio au kuchorwa vibaya ile ziro ,akaanza kusema Mimi naandikiwa zero na huyu mwl hajui mie ni mwanafunzi mtiifu sikubari huu ujinga wa huyu mwl tena aliwahi,l kunitongoza ,ajaribu tena atanijua mi nani?
Tena huyu mwl nina siri zake za kutaka vibinti atanikoma jamani!

Huyu musiba anashindwa kujua Lugora NI waziri wa mambo ya ndani? Nikama yule binti anashindwa kujua yule NI mwl wa Hisabati anacho Fanya NI kusahihisha mwanafunzi wote bila upendeleo,anatimiza wajibu wake ,sasa mwl anatishiwa kisa aliwahimutongoza! uzuri Alisha mukataa sasa ujinga wake yule binti iwe nongwa ya mwl?

Musiba ajue kumupa Ngoswe mambo ya Ngoswe

Wawe wametoka wote mwibara au waligombea ubunge au wanataka ubunge iyo si hoja ,NI ujinga

Musiba amefanya nchi iparanganyike kila siku anaongelea watu na si maswala ,
Simple mind ,discuss people ,that is musiba,ivi watu wajitokeze wawe kama Musiba nchi hii itakalika kweli?

Mwl Nyerere ,aliwa sema "heri umasikini na heshima kuliko utajiri na fedheha


Tukatae akina musiba hata wawe mia .

Tunataka Amani ya mwl akiyotuachia,wanao haribu sheria ,mahakama zipo,polisi wapo etc sio mwanaharakati Musiba .Yy atapita Nchi itabaki

Aliambiwa*niguse ninuke* kagusa sasa

Lyamba lya mufika Nteko amani hata milimani Sumba - wanga Tupa uchawi
Actions speak louder than words 'vitendo huongea kwa sauti kubwa kuliko matamko' tumeshazoea kuongozwa kwa matamko
 
Hakika inanishangaza kuona mtu anayejiita “Mwanaharakati Huru” anakuwa na nguvu kiasi cha kuweza kumjibu Waziri wa Mambo ya Ndani vile apendavyo hakika inasikitisha sana sana.

Kwa kweli inafikirisha sana.

Tunashindwa kuuelewa mgawanyiko na mipaka ya kimamlaka, dhidi ya raia wake.
Ndugu Soda ni mchanganyiko wa maji, rangi, sukari na Gesi. Nguvu ya kufurika inapewa na Gesi.
 
Lugola aje hadharani aseme je anamkaripia musiba kwa sababu ana taka jimbo au lah.miongoni mwa mawaziri nisiowaamini Ni lugola
 
Nyoka waloyemlea, sasa amekua. Limekuwa JOKA tena makengeza, lenye pembe. Kuliua ushibe kwanza.
Ila ubaya mmoja wa majoka, HAYAAMINIKI, litakujamgeukia hata mwenye ngoma.
 
Wanabodi mabadiliko TISS sasa yanaonekana, Musiba apewa onyo kali Leo na kangi lugola

Kila kitu na zama zake, Sasa ni zama za Musiba.


Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amesema kwamba

''Nimuonye huyu Cyprian Musiba kuacha kuhusisha harakati zake na Serikali au kuwa Rais anamtuma. Serikali hatuwezi kufanya kazi kwa kuwatuma wanaharakati kutusemea. Imefikia wakati viongozi wa dini wanaandika waraka wakidhani Serikali inabariki mambo yake.''

Musiba mwenyewe ajibu...

Lugola aache kutumia Serikali kutaka kunidhibiti kwa sababu ni Waziri. Nimezaliwa siku moja, nitakufa siku moja na hizo jela wameumbiwa watu, kama anataka aje anikamate tu akaniweke. Anataka kuniziba mdomo kisa nimetoa msaada jimboni kwake, sitakubali."

SERIKALI imemuonya Mwanaharakati huru, Cyprian Musiba kuacha mara moja kufanya harakati zake kwa kuwaaminisha Watanzania kuwa Serikali inamtuma kufanya hivyo.

Onyo hilo limetolewa leo jijini Dodoma na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe Kangi Lugola wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya kiusalama nchini.

Waziri Lugola amesema Musiba amekua akijaribu kuwaonesha na kuwaaminisha watanzania kwamba pengine Serikali imemtuma hivyo yeye kama Waziri mwenye dhamana ya mambo ya ndani ya Nchi anawahakikishia wananchi kwamba Serikali haiwatumi wanaharakati hao.

Amesema anafahamu kuwa wapo wanaharakati nchini wanaofanya harakati zao lakini amewaonya kuacha kufanya uwanaharakati unaopitiliza wa kuwaaminisha wananchi kuwa sisi viongozi tunabariki uwanaharakati wao.

“Nimuonye huyu Musiba kuacha kuhusisha harakati zake na Serikali au asiwaaminishe Watanzania kuwa Rais anamtuma, Serikali hatuwezi kufanya kazi kwa kuwatuma wanaharakati kutusemea.

“Kwa sababu imefikia hata wakati fulani viongozi wa Dini wanaandika waraka wakijaribu kumzungumzia huyu Musiba wanavyomuona na vitendo vyake kwamba wanadhani Serikali inabariki mambo yake. Niwahakikishie sisi hatujamtuma na tunamuonya mara moja kuacha harakati zake hizo,” Amesema Waziri Lugola.

Amesema pamoja na kwamba Serikali haimtumi Musiba na kueleza kuwa Jeshi la Polisi likibaini kuwa anaendelea kujiwasilisha katika mazingira yanayoashiria kuwajengea hofu watanzania kwamba maneno anayoyasema anatumwa na Serikali basi watamchukulia hatua kali.

“Ninarudia akiendelea kujitanabaisha kwamba anatumwa na Serikali basi tutamchukulia hatua kali sana bila kuangaliana usoni wala kuoneana huruma,” Amesema Mhe Lugola.

Amemtaka Musiba kutovuka mipaka yake na kama anafanya uwanaharakati basi asijishughulishe na mambo ya Serikali.
Eti *akiendelea.....*

Yani unafanya jinai halaf waziri wa Mambo ya ndani anakwambia "ukiendelea kufanya jinai, tutakushughulikia"
 
sasa diwani wizara ya mambo ya ndani inamuhusu nn huku ni upande wa kina sirro
Ooho ile TISS lazima ihusikee mzee... Huwezi fanya mambo kama yale TISS wakawa wanakuangalia tuu...!! Ngoja uone Musiba kama kweli hawataki afanye huo upuuzi kama atafanyaa...Diwani atamsukumiaa motoo yule haitaji Kuita vyomba vya habari kama Lugolaa yule Musiba ndo ataita vyombo vya habari kutubuu upuuzi wake kama kweli diwani atakuwa serious..
 
Serikali kitu kingine. Nani ameona magazeti ya musiba mtaani? Kazi imeeanza
Musiba hakutakiwa kuapigiwa kelel hadharani kama anavyofanya Lugola ila sababu ya Lengo la kisiasa sio mbaya...Yule ni kuzimwa paap hayupoo
 
Le mutuz akiacha kumugawia ndumba na pia Bashite akimtelekeza ndipo cyprian Musiba atapwaya na membe kumuokota kama Panzi
Nasikia ameisha mtupia zigo la kinyesi DAB kwamba nae anauzaga ngada huko kwa kina Frelimo so hapa tayari bonge la bifu limeanzishwa between them
 
Back
Top Bottom