Serikali yamtuhumu mchungaji kwa kutoa taarifa ya uongo kuhusu wahadzabe kufa na njaa

Gembe

JF-Expert Member
Sep 25, 2007
2,483
159
Heshima mbele,
Mkuu wa Mkoa wa Manyara amesema taarifa zilizotangazwa na baadi ya vyombo vya habari kuwa baa la njaa limesababisha vifo vya watu wa jamii ya wahdzabe si kweli.na taarifa aliyotoa mchungaji JOHN MAGAFU hazina ukweli..
kuhusu mgogoro wa wakulima na wafugaji katika jamii hiyo,alisema madai hayo si ya kweli kwasababu wahadzabe si wafugaji bali ni wawindaji, na jamii ya wabarbaig ambao ni wafugaji..
pia amesema wanapata huduma zote
 
mhe. shekifu,amelaumu waandishi wa habari kuwa makini wakati wanapoletewa habari kabla ya kuiandika,
MZee mwanakijiji,wewe takwimu ulipewa na nani?
kwa roho safi,wanabodi naomba tufuatilie hili tujue nani anasema uongo,
sitaki kuamini mchungaji magafu alipotosha jamii,
 
Duh!
Hii mpya sijawahi kuisikia kabisa kuwa kuna jamii nchini inaitwa jamii ya Wawindaji sio Wafugaji... Ama kweli Utandawazi umekuja na mengi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom