Serikali yamtetea Mrema wa TANROADS

.............NILISHAMUAMBIA JK AND HIS TEAM KUWA..............KATIKA WATU WANAOTUTIA HASARA KATIKA MIUNDO MBINU YETU NI HUYU MREMA..............kuna mengi anayafanya ya kututia hasara zaidi hata ya EPA.........ila watu naona wamefunga masikio.........let it be Konzogwe.........this nation is for selected few.......whereby they always get away with scandals.........damn!
 
MREMA namhusisha kwa sababu zifuatazo:
1.Baada ya kutimuliwa Paschal kule Moro,alikuja ofisini kwa Mrema na waliongea kwa muda wa zaidi ya saa moja hali inayoleta mashaka.
2.Baada ya hapo Mrema alichukua jukumu la kuhamisha lile jopo la Moro bila kushirikisha kamati yake husika juu ya uamuzi huo,hivyo huenda yapo waliyoyapanga na kuamua kwa maamuzi yake binafsi kinyume na taratibu za kazi.
3.Sio kawaida kuhamishwa kwa pamoja watu wote waliokaa,haijawahi tokea.Hivyo kuna harufu ya rushwa hapa na inamgusa Mrema ndo maana hakuita kamati yake ili kujadili na kupitisha maamuzi hayo.
4.Ni ukweli usiopingika kuwa alikuwa na mawasiliano na baadhi ya matajiri ili amuondoe yule Mlokole (Kattani)kwenye njia ambayo wao hupitisha sana magari yao maana ni kikwazo.


Konzogwe, unaonyesha unamaelezo mazuri na umehabarika vyakutosha. Itapendeza ukituhabarisha na sisi tuelewe vizuri. Sasa huyu Pascal baada ya kutimuliwa alienda kwa Mrema kulalamika kaonewa au ilikuwaje? na kwakuwa inaonyesha uliongea na Pascal ingekuwa vizuri tupate maelezo ya Pascal na Mrema waliongea nini. Jaribu kuja na maelezo na vielelezo kama anavyofanya Slaa ili tusiwe na maswali maana hoja inapokuwa personal tunatakiwa kuwa na uhakika na sio kubahatisha wasije kutugeuka.
 
technician aliyefukuzwa ni kweli alienda tanroads makao makuu, na alipofika kule aliamua kumwaga data zote, yaani akachoma utambi jinsi wahusika nao wanakula rushwa kwa kwenda mbele, ikabidi tanroads waunde timu ya kuwachunguza akina masaba na kundi lake, uhakika ukapatikana ndipo wakatimuana.

ni kama kumar patel alivyowachoma akina jeetu patel kwenye issue ya epa.

mnapokuwa kwenye ushirika usio mtakatifu kama wa akina eng. masaba na wenzake hamtakiwi kujisafisha kwa kumchoma mwenzenu!

mwenye macho na aone, Mungu anaipenda sana nchi yote ndo maana mafisadi wanaumbuana yenyewe
 
technician aliyefukuzwa ni kweli alienda tanroads makao makuu, na alipofika kule aliamua kumwaga data zote, yaani akachoma utambi jinsi wahusika nao wanakula rushwa kwa kwenda mbele, ikabidi tanroads waunde timu ya kuwachunguza akina masaba na kundi lake, uhakika ukapatikana ndipo wakatimuana.

ni kama kumar patel alivyowachoma akina jeetu patel kwenye issue ya epa.

mnapokuwa kwenye ushirika usio mtakatifu kama wa akina eng. masaba na wenzake hamtakiwi kujisafisha kwa kumchoma mwenzenu!

mwenye macho na aone, Mungu anaipenda sana nchi yote ndo maana mafisadi wanaumbuana yenyewe

RAFIKI! Hiyo timu iliundwa tarehe ngapi na ilianza lini kuchunguza ikiwa muda ulokuwepo ni siku tatu tu tangu kufukuzwa kibarua Paschal?...Eng.Masaba na wenzake ni Waajiliwa wana haki tofauti na kibarua,waweza kuwaeleza jf kuwa ni lini Masaba na wenzake walihojiwa na kutoa maelezo upande wao kama vile Paschal alivyosikilizwa?...Na kama hamna,Paschal ana haki gani za ki ajira kuliko hawa kiasi cha kusikilizwa yeye tu?...Hujahisi harufu ya rushwa hapa?
Na kama utaweza wataje waliounda timu kuwachunguza kina Masaba,maana wafanya kazi karibu wote hapa ofisini washangazwa na uhamisho huu hususani kwa yule Mlokole.Hata hivyo nchi hii rushwa hupofusha macho ya watuongozao.Kama ulivyomtaja Mungu,basi mapenzi yake na yatendeke,na aamue kati ya haki na ufisadi.
 
Inasikitisha sana!Ni yale yale ya mzee kitine,UADILIFU,UTAIFA.vitu ambavyo viongozi wa karne hii ya TAMAA NA UBINAFSI nawana kabisaaaaaaaaaaaaa
Ni bora watu wakajua kuwa haya mambo yana mwisho.
 
technician aliyefukuzwa ni kweli alienda tanroads makao makuu, na alipofika kule aliamua kumwaga data zote, yaani akachoma utambi jinsi wahusika nao wanakula rushwa kwa kwenda mbele, ikabidi tanroads waunde timu ya kuwachunguza akina masaba na kundi lake, uhakika ukapatikana ndipo wakatimuana.

ni kama kumar patel alivyowachoma akina jeetu patel kwenye issue ya epa.

mnapokuwa kwenye ushirika usio mtakatifu kama wa akina eng. masaba na wenzake hamtakiwi kujisafisha kwa kumchoma mwenzenu!

mwenye macho na aone, Mungu anaipenda sana nchi yote ndo maana mafisadi wanaumbuana yenyewe

Mwikimbi

Tuko pamoja mkuu.

Yawezekana CEO akawa na matatizo yake, lakini kwa hili sifikiri kama amefanya maamuzi mazito ya uhamisho wa wengi kwa kumsikiliza huyo paschal tu. Kutakuwa na mengine yamejificha asiyoyajua Kozongwe hama hajayataja ambayo hata sisi hatuyajui.

Kuna tatizo hapo!!, tatizo zaidi ya hilo liloletwa jukwaani.!!.

Jiulize yafuatayo

1.Uhamuzi wa kumfukuza Paschal au kuwahamisha hao wengine ulimuhusisha Madinda?
2. Kwa nini Paschal hakupeleka malalamiko yake kwa Madinda kabla ya kwenda kwa CEO-Dar?
3.Kwa nini jopo lililohamishwa ndilo lililomfukuza Paschal na si Madinda (Manager)?

Majibu ya maswali hayo yanaweza kutupa mwanga wa kuchangia zaidi.

Vinginevyo ninashawishika kusema Madinda,waliohamishwa na Paschal wote wanastahili kuhamishwa au kufukuzwa kabisa, wote ni wale wale.
Hayo ndiyo yanayoendelea si ndani ya Tanroads Mikoani tu bali katika Idara zote za Serikali!!! Kakinge sikio Tanroads Shinyanga ni vituko!!!!!!
 
Mwikimbi

Tuko pamoja mkuu.

Yawezekana CEO akawa na matatizo yake, lakini kwa hili sifikiri kama amefanya maamuzi mazito ya uhamisho wa wengi kwa kumsikiliza huyo paschal tu. Kutakuwa na mengine yamejificha asiyoyajua Kozongwe hama hajayataja ambayo hata sisi hatuyajui.

Kuna tatizo hapo!!, tatizo zaidi ya hilo liloletwa jukwaani.!!.

Jiulize yafuatayo

1.Uhamuzi wa kumfukuza Paschal au kuwahamisha hao wengine ulimuhusisha Madinda?
2. Kwa nini Paschal hakupeleka malalamiko yake kwa Madinda kabla ya kwenda kwa CEO-Dar?
3.Kwa nini jopo lililohamishwa ndilo lililomfukuza Paschal na si Madinda (Manager)?

Majibu ya maswali hayo yanaweza kutupa mwanga wa kuchangia zaidi.

Vinginevyo ninashawishika kusema Madinda,waliohamishwa na Paschal wote wanastahili kuhamishwa au kufukuzwa kabisa, wote ni wale wale.
Hayo ndiyo yanayoendelea si ndani ya Tanroads Mikoani tu bali katika Idara zote za Serikali!!! Kakinge sikio Tanroads Shinyanga ni vituko!!!!!!

........Naomba kumtetea Madinda kwani alianza rikizo siku moja tu kabla ya uamuzi wa kufukuzwa Paschal na aliyekaimu ni miongoni mwa hao waliohamishwa.Sijui kama Madinda angekuwepo kama angepona na kama angepona tungehitimisha kuwa ni uhamisho wa kawaida.
 
Mwikimbi,
Hapa sijaelewa,nafikiri ajira ni haki kwa kila mtanzania akiwemo Mrema,lakini hapa niliposhtuka ni hili suala kwamba hakuwemo kwenye orodha ya usaili,na baada ya usaili hakuna tangazo jipya la ajira lilitangazwa kama inavyotakiwa lakini ghafla ameajiriwa mtu,sasa hapo sheria ya ajira ilifuatwa?.Hapa mimi nilitegemea kusikia kuwa utaratibu wa ajira ulifuatwa wakati anaajiriwa ikiwemo Tangazo,orodha ya kusailiwa na kuteuliwa miongoni mwa waliosailiwa.Kama hawa waliokuwa kwenye orodha hawakukidhi vigezo ingetakiwa nafasi itangazwe tena watu waombe.Kama utaratibu ulikuwa huo na akapata ndugu Mrema basi hata mimi nitawashangaa watakaolalamika.Ila kwa vile BoT tayari kuna mfano kuwa kazi inayolipa hutolewa kwa 'memo' basi hata kwa hili kabla sijaita hizi shutuma majungu nahitaji kutafuta ukweli kwanza,majibu ya serkali bado ni ya juu juu.

.......HUYU MREMA BILA SHAKA ANA MIZIZI KUNAKO KICHWA CHA NCHI!..Mh! Labda,ngoja tuone mwisho wake.Ila mie nawambieni washikaji safari yake kwenda kisutu imewadia.Tulieni mtaona.
 
Hivi mpaka sasa Tanroad ina kesi ngapi?Huyu bwana mkubwa Alifukuza fukuza washauri na makandarasi kwenye baadhi ya project ambao walitishia kuishitaki Tanroad.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom